Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kenya witch hunting
Screenshot_20190630-190437_YouTube~2.jpg
 
Now they should Develop Mwanza,Kigoma at full speed ..they could use good terminals

I also Think to Improve tourism...Mafia and Pemba should be able to handle Bombardier Q400 so they also need improvments
👌 👏
 
Taifa Stars leo wanarudi nyumbani wapende wasipende. Sijui Kama bombadia inaweza kuruka Hadi Cairo ama bado betri ni shiiiida?

Na nimekuwa nikisema Tz na Burundi ni wapenzi sijui wachukue Ndege moja waje wakibembelezana kwa walioyapata na sio michezoni tu mbali hata uchumi zao ni dhaifu.

CCM hoyeeeeee 🤸 🤸
 
Taifa Stars leo wanarudi nyumbani wapende wasipende. Sijui Kama bombadia inaweza kuruka Hadi Cairo ama bado betri ni shiiiida?

Na nimekuwa nikisema Tz na Burundi ni wapenzi sijui wachukue Ndege moja waje wakibembelezana kwa walioyapata na sio michezoni tu mbali hata uchumi zao ni dhaifu.

CCM hoyeeeeee 🤸 🤸
okay, kwa hiyo hiyo ni spell ya bad luck au? haijalishi kama tukirudi. Tumethubutu na tumefika juu. Mungu pekee ndio ajuaye nini kitatokea usiku wa leo. Siku hazigandi.......
 
Taifa Stars leo wanarudi nyumbani wapende wasipende. Sijui Kama bombadia inaweza kuruka Hadi Cairo ama bado betri ni shiiiida?

Na nimekuwa nikisema Tz na Burundi ni wapenzi sijui wachukue Ndege moja waje wakibembelezana kwa walioyapata na sio michezoni tu mbali hata uchumi zao ni dhaifu.

CCM hoyeeeeee 🤸 🤸
ILa wewe nahisi hata wazazi wako wanajutia nasio kujivunia uzazi wako
 
Taifa Stars leo wanarudi nyumbani wapende wasipende. Sijui Kama bombadia inaweza kuruka Hadi Cairo ama bado betri ni shiiiida?

Na nimekuwa nikisema Tz na Burundi ni wapenzi sijui wachukue Ndege moja waje wakibembelezana kwa walioyapata na sio michezoni tu mbali hata uchumi zao ni dhaifu.

CCM hoyeeeeee [emoji1732] [emoji1732]
Kwani timu yenu itaenda wapi [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwani timu yenu itaenda wapi [emoji23][emoji23][emoji23]
Round of 16. Ama hujui zinaingia timu tatu? ya mwisho(bongolala, nkurunziza) nyumbani 😂. Tutakula Bata siku kadhaa zaidi. thanks again
 
Back
Top Bottom