komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Wuhuhuuuu!!turkana inaichakaza...yani bado huamini macho yako...[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]Tunakukomesha wew unayetaja taja maeneo ya bongo bila kuyajua
Wuhuhuuuu!!turkana inaichakaza...yani bado huamini macho yako...[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]Tunakukomesha wew unayetaja taja maeneo ya bongo bila kuyajua
Ushaamtandika koBila Shaka sindano imekuingia haswaa.
Acha kutaja maeneo usiyoyajua utaumbuka bure
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]turkana hoyeeeeeeSure, mungiki wamezidi maneno matupu sana
Acha uboya weye,tangu lini tahmeed ikawa ya mtanzania ?wewe tahmeed umeijua ikianza kukuja Dar .Tahmeed vilevile ni ya mtu wa Tanga Tanzania company hiyo
Mount kenya university lodwar campus...turkana county[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]Tunakukomesha wew unayetaja taja maeneo ya bongo bila kuyajua
Huyo boya usiyatilie maanani anayoyasema tahmeed ni kampuni ya mkenya haijawahi kuwa ya mtanzania Kwanza ameijua ikianza kuchapa route za Mombasa-tanga -Dar na Nairobi Arusha Dar.Cha kushangaza basi zake kali nyingi ni za mombasa nairobi...route za bongo kawapa mikangafu
Nairobi dar route kuna kidume anaitwa dar lux ulizia habari zake upate dataHuyo boya usiyatilie maanani anayoyasema tahmeed ni kampuni ya mkenya haijawahi kuwa ya mtanzania Kwanza ameijua ikianza kuchapa route za Mombasa-tanga -Dar na Nairobi Arusha Dar.
Unajifanya kichwa maji eti?Wuhuhuuuu!!turkana inaichakaza...yani bado huamini macho yako...[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1134859View attachment 1134860
Dar lux ,Dar express na SAI Baba, zinafanya safari hadi Kenya na leo hii hatuwezi tukasema Kwa sababu zinafanya usafiri Kenya sasa ni za mkenya. Tahmeed ni company ya mkenya.Umeshaziona zinazotoka Tanga kwenda Dar? Tanga kwenda Arusha? Dar kwenda Arusha? Dar kwenda Nairobi? And viceversa?
We tulia hvo hvo....tahmeed ilinzisha safari za mombasa nairobi before hta za daresalamHuyo boya usiyatilie maanani anayoyasema tahmeed ni kampuni ya mkenya haijawahi kuwa ya mtanzania Kwanza ameijua ikianza kuchapa route za Mombasa-tanga -Dar na Nairobi Arusha Dar.
Sasa hii ni university?Mount kenya university lodwar campus...turkana county[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1134862
Basi za kawaida sana zile[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]Nairobi dar route kuna kidume anaitwa dar lux ulizia habari zake upate data
Bwhahaaa....hyo ni ya serikaliSasa hii ni university?
University gani inazidiwa na shule ya primary ya akemps huko BukobaView attachment 1134880
Sio Kwa povu Hili.Bwhahaaa....hyo ni ya serikali
Heheheeee!!!!turkana jamani......mbna unaumiza hawa jamaaSio Kwa povu Hili.
Hiyo university yenu inazidiwa na primary ya serikali ya akemps
Duh!!!kumbe sijacheki vizuri...kuna vibada hapo kando[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sasa hii ni university?
University gani inazidiwa na shule ya primary ya akemps huko BukobaView attachment 1134880
Dar lux utakua kichaa kuilinganisha na tahmeed,it's not that VIP bus sits zake zimefinyika you can not adjust.Nairobi dar route kuna kidume anaitwa dar lux ulizia habari zake upate data
Wewe ni kichaa ndugu😆😆👇👇👇👇Dar lux utakua kichaa kuilinganisha na tahmeed,it's not that VIP bus sits zake zimefinyika you can not adjust.
Vigezo gani mnatumia kuita kitu university?[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1134889