Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mnf sioni dalili za spire
Lazima waweke spire, it's part of the design si unaona wameanza kushughulika
fyi.PNG
 
Kuna tangazo limetolewa kwa wakazi vingunguti wenye nyumba karibia na reli maeneo ya kiembembuzi kwenye barabara inayoelekea machinjioni kutokea nyerere road
Kuwa nyumba zao zitabomolewa ili kupisha ujenzi wa flyover ambapo gari zitapita juu halafu bullet train itapita chini kisha kukutana na viaduct eneo la buguruni ambayo ujenzi wake ulisha anza kwa kuchimba shimo la kusimika nguzo
Leo waturuki walikuwa wakipima jinsi flyover itakaa
Soon dar itakuwa ni home of flyovers
 
Lakini pia nadhani kuna haja ya kuandaa ideas halafu zifikishwe kwa wahusika, kwa mfano hili uliloongea mkuu ni point kubwa sana coz kama uliifuatilia project ya New Kigamboni inafafanua kwamba Jiji la kitalii, kwa maana hiyo that Idea is quiet cool, lkn shida pale ni lile li ferry maji yanachafuka n bad smell too, how will that be solved? Halafu pia nime note humu ndani kuna watu wana idea kubwa sana big up Tz
Kumbuka Upande Wa Pili Kuna Kambi Ya Jeshi Mkuu
 
Kuna tangazo limetolewa kwa wakazi vingunguti wenye nyumba karibia na reli maeneo ya kiembembuzi kwenye barabara inayoelekea machinjioni kutokea nyerere road
Kuwa nyumba zao zitabomolewa ili kupisha ujenzi wa flyover ambapo gari zitapita juu halafu bullet train itapita chini kisha kukutana na viaduct eneo la buguruni ambayo ujenzi wake ulisha anza kwa kuchimba shimo la kusimika nguzo
Leo waturuki walikuwa wakipima jinsi flyover itakaa
Soon dar itakuwa ni home of flyovers
aisee ni hatari,,mambo ni mazuri
 
Back
Top Bottom