instanbul
JF-Expert Member
- Jun 26, 2016
- 11,381
- 14,186
Hiv Hilo jengo mbele ya magufuli hostel linaitwaje na ni la nini30+ FL Towers Existing in Nairobi and Dar es salaam:
Nairobi:
1. Britam Tower 1
2. UAP Tower 1
3. Avic Tower 5
4. Prism Tower 1
5. Times Tower 1
Total 9 Towers
Dar Es Salaam
1. PPF HQ 1
2. PSPF Towers 2
3. TPA Tower 1
4. Mzizima Towers 2
5. MNF Towers 2
6. RITA Tower 1
7. Milienium Towers 1
Total 10 Towers.
Lile battle la 30+Floor walitembelea kichwa mwaka Jana . Sema Mchina kawatoa kinyama Yaani Tower 5 ,Noma sana .
Wanatakiwa wapige sana domo baada ya Pinnacle (2) Montave(2) na hiyo 88 Tower 1 , Baada ya hizi Tower tano kukamilika. Lakini sasa hivi huwa wanjisahua Wa Nadhani na hizi zimesimama .
Mchina ashukuriwe hapa .
View attachment 1114008