Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

30+ FL Towers Existing in Nairobi and Dar es salaam:

Nairobi:
1. Britam Tower 1
2. UAP Tower 1
3. Avic Tower 5
4. Prism Tower 1
5. Times Tower 1

Total 9 Towers

Dar Es Salaam
1. PPF HQ 1
2. PSPF Towers 2
3. TPA Tower 1
4. Mzizima Towers 2
5. MNF Towers 2
6. RITA Tower 1
7. Milienium Towers 1

Total 10 Towers.





Lile battle la 30+Floor walitembelea kichwa mwaka Jana . Sema Mchina kawatoa kinyama Yaani Tower 5 ,Noma sana .
Wanatakiwa wapige sana domo baada ya Pinnacle (2) Montave(2) na hiyo 88 Tower 1 , Baada ya hizi Tower tano kukamilika. Lakini sasa hivi huwa wanjisahua Wa Nadhani na hizi zimesimama .

Mchina ashukuriwe hapa .
View attachment 1114008
Hiv Hilo jengo mbele ya magufuli hostel linaitwaje na ni la nini
 
CRDB HQ

IMG_0244.JPG


IMG_0245.JPG
 
30+ FL Towers Existing in Nairobi and Dar es salaam:

Nairobi:
1. Britam Tower 1
2. UAP Tower 1
3. Avic Tower 5
4. Prism Tower 1
5. Times Tower 1

Total 9 Towers

Dar Es Salaam
1. PPF HQ 1
2. PSPF Towers 2
3. TPA Tower 1
4. Mzizima Towers 2
5. MNF Towers 2
6. RITA Tower 1
7. Milienium Towers 1

Total 10 Towers.





Lile battle la 30+Floor walitembelea kichwa mwaka Jana . Sema Mchina kawatoa kinyama 🤣 Yaani Tower 5 ,Noma sana .
Wanatakiwa wapige sana domo baada ya Pinnacle (2) Montave(2) na hiyo 88 Tower 1 , Baada ya hizi Tower tano kukamilika. Lakini sasa hivi huwa wanjisahua Wa Nadhani na hizi zimesimama 🤣.

Mchina ashukuriwe hapa .
View attachment 1114008
Labda wachanganye na renders za pinnacle na montave😆😆😆😆😆

Yani nairobi ni ndogo sana 😁😁😁
 
30+ FL Towers Existing in Nairobi and Dar es salaam:

Nairobi:
1. Britam Tower 1
2. UAP Tower 1
3. Avic Tower 5
4. Prism Tower 1
5. Times Tower 1

Total 9 Towers

Dar Es Salaam
1. PPF HQ 1
2. PSPF Towers 2
3. TPA Tower 1
4. Mzizima Towers 2
5. MNF Towers 2
6. RITA Tower 1
7. Milienium Towers 1

Total 10 Towers.





Lile battle la 30+Floor walitembelea kichwa mwaka Jana . Sema Mchina kawatoa kinyama 🤣 Yaani Tower 5 ,Noma sana .
Wanatakiwa wapige sana domo baada ya Pinnacle (2) Montave(2) na hiyo 88 Tower 1 , Baada ya hizi Tower tano kukamilika. Lakini sasa hivi huwa wanjisahua Wa Nadhani na hizi zimesimama 🤣.

Mchina ashukuriwe hapa .
View attachment 1114008
Yaani hii Nairobi inajegwa na wageni na si wakenya asilia tofauti na Dar ya Wabongo. Big up Dar 💪💪💪🇹🇿
 
Back
Top Bottom