Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

👏👏👏👏👏



👇👇👇👇👇👇
629DA1E0-9B24-459E-B8DA-1256B2F61EFD.jpeg
 
Uncountable,we are the big boy of Africa u pretend knowing nothing abt Nai sio
Ahahaha hvi wewe kwa akili yako ya kuzaliwa unaeza fananisha nairobi iingie kwa dar kwenye majengo kweli???😆😆😆 yani suala la majengo nairobi bado sana yani mujenge kama miaka 20 hvi muitafute density ya dar
 
Na nairobi kuna ngapi???


30+ FL Towers Existing in Nairobi and Dar es salaam:

Nairobi:
1. Britam Tower 1
2. UAP Tower 1
3. Avic Tower 5
4. Prism Tower 1
5. Times Tower 1

Total 9 Towers

Dar Es Salaam
1. PPF HQ 1
2. PSPF Towers 2
3. TPA Tower 1
4. Mzizima Towers 2
5. MNF Towers 2
6. RITA Tower 1
7. Milienium Towers 1

Total 10 Towers.





Lile battle la 30+Floor walitembelea kichwa mwaka Jana . Sema Mchina kawatoa kinyama 🤣 Yaani Tower 5 ,Noma sana .
Wanatakiwa wapige sana domo baada ya Pinnacle (2) Montave(2) na hiyo 88 Tower 1 , Baada ya hizi Tower tano kukamilika. Lakini sasa hivi huwa wanjisahua Wa Nadhani na hizi zimesimama 🤣.

Mchina ashukuriwe hapa .
IMG_0246.JPG
 

Attachments

  • IMG_0246.JPG
    IMG_0246.JPG
    109.4 KB · Views: 21
Back
Top Bottom