Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Although i don't have one, but let me ask, has Samsung S8 struck TZ markets yet??
Samsung premier experience store at two Rivers
C-VhKhGW0AAfFEz.jpg
wew acha kujidanganya......zishazagaa hzo samsung s8.....kinachongojewa ni iphone8 tu .....wew wa wapi
 
mimi sio wa vijiweni, I actually have a day job..... with a salary waay past six figures ichoboy01, kwako hiyo ni ndoto! hadi ukasome kwanza!
we imba tu mabomu haya mambo mengine usiyaingilie...ntakuaibisha tena! Ohooo!!
hydrogen vip inapaswa uombewe....yaan bado upo tu....na hizo sindimba zako....broo vip
 
Mi nakumbuka bomu la wanjala no 1 tu
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
Wanjala kakwepa mabomu mawili 😀😀😀
Kilaza plus kakombatia kati ya mkwepaji na mkombatiaji nani kilaza zaidi😛😛😛😛
Wapi bomuuuuu la wanjala 🙂🙂🙂View attachment 504674
Utajiju! We mwehu nini???😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Bomu linampeleka mchakachaka hana hamu 😀😀😀😀😀😀
ila vip kuna kideo kadoda katuma apo umekionaje......ila kuna moja hyo naitafuta ni zaidi yaani ni kali kila nikiitafuta siipati..
 
Back
Top Bottom