Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sio newyork ni dar budaa👇👇👇👇
11FF396F-00B7-46B0-8E2B-0E230526ADE4.jpeg
A4E0F291-CC7C-497C-8A81-819149E229D1.jpeg
695833B7-E901-41E7-B42B-F0683E89B609.jpeg
12FBF081-CA6E-4A9A-9460-8EDDAE931772.jpeg
1EF01F42-8F6D-42A6-B364-F30B754FA536.jpeg
B080CAFD-7853-4A7A-8272-18D5CAE2AD11.jpeg
ED60752E-DDB9-4E9B-B50C-02E5051C3FC9.jpeg
4312F743-A4FB-4C86-AA05-7EC23DF4B6F3.jpeg
120DB94D-E5E0-4B9B-8F83-ECB6E218E9B1.jpeg

9514D580-5997-4AD4-8CD1-2A4917889EEB.jpeg
 
ha haaa,mnachonifurahishaga hapo tu yaani huwa ndipo mnaishiaga kupost hizo hostel tu na hapo ndiyo mwisho wenu huwa hamna jipya swali ni dogo tu inamaana wansirobi wote huwa wanaishi kwenye hizo hostel...? maana ni hizo hizo tu kila siku ,na vipi kuhusu wanairobi wengine huwa wanaishi wapi....?
4cdaa981a580866fcb476f7f9e5985c2.jpeg
istockphoto-940425284-1024x1024.jpeg
istockphoto-940432924-170667a.jpeg
mbagala-suburbs-area-dar-es-450w-1056184316.jpeg
istockphoto-940425488-1024x1024.jpeg
images%20(5).jpeg
images%20(4).jpeg
images%20(3).jpeg
1b707020b8b011e2943422000a9f3095_7_zps94c9fdb0.jpeg
Dz6mc2gXcAABV5D.jpeg
1.jpeg
20263e2630c9e1170056bb6b96ecb4c0.jpeg
images%20(2).jpeg
images%20(1).jpeg
images.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halafu huyu nyumbu kuna picha nyingine alizoziokota ni kweli ni za DSM ila za mwaka 2012 hata kabla BRT haijaanza kujengwa
Unaposema kwamba ni kabla ya BRT unamaanisha hizo picha sio za Dar anymore au unamaanishaje? Walikuwa wanajenga brt au walikuwa wanajenga pia nyumba zilizoko karibu na pia kufanya planning? Kuna picha nilileta hapo imecapture brt lakini ukiangalia mazingira inayozunguka hiyo brt ni uswazi tupu. Has brt changed the way dar looks in terms of estates and planning? Absolutely not. Najua hii kelele yote mnapiga hapa ni kwa sababu ya uzalendo ila ukweli itabaki palepale. Naona mwenzako kashakimbia kuleta picha za mitaa za kifahari za dar kulinganisha na hizo mitaa za mwananch wa kawaida wa Nairobi ambayo ni maeneo ya Eastlands. Nikianza kuleta za Spring Valley, Kyuna, Karen, Hurlingham, Lavington, Muthaiga, Gigiri, na nyinginezo hapa kutakalika kweli?
 
Hebu toa hizo filters tuone uzwazi unavyokaa
ha haaa,mnachonifurahishaga hapo tu yaani huwa ndipo mnaishiaga kupost hizo hostel tu na hapo ndiyo mwisho wenu huwa hamna jipya swali ni dogo tu inamaana wansirobi wote huwa wanaishi kwenye hizo hostel...? maana ni hizo hizo tu kila siku ,na vipi kuhusu wanairobi wengine huwa wanaishi wapi....?View attachment 1068652View attachment 1068653View attachment 1068654View attachment 1068655View attachment 1068656View attachment 1068657View attachment 1068658View attachment 1068659View attachment 1068660View attachment 1068661View attachment 1068662View attachment 1068663View attachment 1068664View attachment 1068665View attachment 1068666

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaposema kwamba ni kabla ya BRT unamaanisha hizo picha sio za Dar anymore au unamaanishaje? Walikuwa wanajenga brt au walikuwa wanajenga pia nyumba zilizoko karibu na pia kufanya planning? Kuna picha nilileta hapo imecapture brt lakini ukiangalia mazingira inayozunguka hiyo brt ni uswazi tupu. Has brt changed the way dar looks in terms of estates and planning? Absolutely not. Najua hii kelele yote mnapiga hapa ni kwa sababu ya uzalendo ila ukweli itabaki palepale. Naona mwenzako kashakimbia kuleta picha za mitaa za kifahari za dar kulinganisha na hizo mitaa za mwananch wa kawaida wa Nairobi ambayo ni maeneo ya Eastlands. Nikianza kuleta za Spring Valley, Kyuna, Karen, Hurlingham, Lavington, Muthaiga, Gigiri, na nyinginezo hapa kutakalika kweli?
So umeamua tufanye DSM 2012 vs Nairobi 2019 au sio
 
You think that using filters will change the reality on the ground? This is dar in its nakedness. This is the same picture without filters. Halafu nashangaa sana sewage treatment plant imejengwa katikati ya eneo la makazi. Hui Dar yenu yatisha!!! Picha ya NNE kutoka chini umejaza filters Ila ukweli ndo hii hapa chini
tanzania-dar-es-salaam-aerial-view-on-suburbs-F4CEXF.jpg
 
Hizo ulizoleta za Kenya ulienda ukapiga picha mwenyewe au we we pia ulitoa Google?
Kibera iko kila sehemu sio google tu twitter ipo, instagram ipo, facebook kila mahali ipo huwez kosa bila kusahau google earth😆😆👇👇
Inauma ila vumilia plz
5F17DEFE-BB40-4D3D-9638-096D9070B205.png
 
Back
Top Bottom