The great jay
JF-Expert Member
- Aug 8, 2017
- 635
- 669
Watu wanamix mafaili ile njia ya kati kati ni kwa ajilinya mabasi ya mikoani express sio mwendokasi ila kwa kuanzia mbezi kuja mpaka kibahaa ila mbezi kuja city center ndio mwendokasi pale kati na yenyewe itakuwa express nikisema express namaanisha haisimami ni direct so gari ikiingia kibaha imetoka musoma n direct mbezi na mwendokasi mbezi ni direct to kimara ndio kinachofanyika mkuuAhsante sana mkuu... hiyo njia ya kati wamesema itakua ya BRT vipi kuhusu vituo vitajengwa na estim au atakuja mtu mwingine?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app