Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Zile zilikua njaa za mahindi eti kuikomoa Tanzania kwa kuibypass, toka lini uhuru akaanzisha jambo la maana likafanikiwa? Atulie JPM amfundishe mkali wa hizi kazi.
duh...koro-show tu kufanikisha kashindwa...
 
Aliekuambia amefeli nani? Serikali ilitangaza kununua korosho zote za wakulima kwa bei nzuri, sasa wamenunua au hawajanunua?
umesahau..pia ilisema itazibangua..au nimenukuu vibaya...
alafu kuhusu malipo ya hao wakulima bado majina yao yanabandikwa katika kata zao...

haki ya nani unaeza enda ukakuta jina lako kwenye list umefunguliwa mpka bank account feki...wachezea mkurupukaji wewe
 
8-12 lanes
tapatalk_1553351984951-jpeg.1059111
 
Safi sana.. ujenzi unakimbia, ila sijajua hiyo mifuko ya cement ni ya nini hapo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hio inatumika kutengeneza cement layer ya C1 au tunasema ni sub base ya road hapo kila kibox kinmwagiwa cement moja baada ya hapo inamita mashine inamix udongo na iyo cement ndio tunapata layer nliokuandikia hapo juu mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hio inatumika kutengeneza cement layer ya C1 au tunasema ni sub base ya road hapo kila kibox kinmwagiwa cement moja baada ya hapo inamita mashine inamix udongo na iyo cement ndio tunapata layer nliokuandikia hapo juu mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante sana mkuu... hiyo njia ya kati wamesema itakua ya BRT vipi kuhusu vituo vitajengwa na estim au atakuja mtu mwingine?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom