Which Kenya the one starving of hunger?kenya iko wapi hapa?
View attachment 1057526
Basi wangemchora anakimbia kama kwenye Bombardier!JPM aliwaambia wasipake upya rangi nyeupe pamoja ule mkanda wa blue kwa sababu tayari zilikuwepo kama background originally. Aliwaambia wao wachore Twiga na kuandika hayo maneno basi, Kazi rahisi sana.
Jamaa walitaka kwenda South kupiga rangi ndege yote pamoja na kuweka hizo nembo na maandishi.
Maumivu yakizidi fuata ushauri wa daktariYour town looks like A town in kusadikika, a town of three blue towers amidst a sea of slums and poverty. It's such a pity
Kuna mlevi mmoja yeye ushirikiano hupo kwenye maneno tu, anashinda akizulula akipigia watu makelele kuhusu ushirikiano ila matendo zero. Watu wamesha mchoka, kuna siku atatimuliwa airport. Mnao mjua mwambieni atulie kwake apambane na maelfu ya matatizo yanayo wakabili raia wake.kenya iko wapi hapa?
View attachment 1057526
povu...Your town looks like A town in kusadikika, a town of three blue towers amidst a sea of slums and poverty. It's such a pity




Hivi ni vitu Wakenya wataendelea kuona kwenye TV tuu!
Mwanza hiyo.
Mwanza hiyo.
Sifahamu, mi nilliona kwa msemaji wa serikali Dr. Hassan twitter.
Sifahamu, mi nilliona kwa msemaji wa serikali Dr. Hassan twitter.
Kigongo - Busisi super bridge , Rock City.....