Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mji hauna maji alaf munataka shindana na dar

Watoto wao ndio wanakunywa maji hayo
FB_IMG_1553181266641.jpeg
 
Q400 zote zilikuwa hazijaandikwa

Sent using Jamii Forums mobile app

Jumatatu nimesafiri na TC-134,
Was very happy kweli sikuwahi kusafiri na ATCL,
Wale wadada wako poa sana Ile air hoster wa Kiume wako Poa Zaidi,
Keaho pia ndani ya Airbuss narudi Dar, Kwa Sasa sioni Mpinzani wa ATCL kwenye ukanda huu, JPM amemwaga pesa sana hapa, wale kq na ndege zao tatu wakae mkao wa Kupotezwa mazima..
 
Ukiwashika kwenye unemployment hua wanakimbilia huko wakijifanya wao waerevu😆😆😆😆😆😆
😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Back
Top Bottom