Lusematic
JF-Expert Member
- Feb 2, 2017
- 12,051
- 11,839
daaahkenya njaa njaa njaa....crying [emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]
View attachment 1049701
Sent using Jamii Forums mobile app
daaahkenya njaa njaa njaa....crying [emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]
View attachment 1049701
[emoji3][emoji3][emoji3]hizo ni sura za kikenya x sudan,,,,,,,Njaa,Njaa Tanzania....Mnaficha ndio ifanyike nini sasa....tell the world what is happening in Simiyu you idiotic pretenders
View attachment 1049736
Which nation Nairobi or Kenya ???maana nimegundua wakenya Nairobi ndio wanaona ni nchi ila turkana na baringo sio Kenya wapumbavu sana nyieeYou like taking opinion from lazy people, keep wasting your time while us we're working hard to keep our nation growing,
haki wewe ni mjinga na punguani. thibitisha hao watoto wenye utapiamlo ni watanzania.Njaa,Njaa Tanzania....Mnaficha ndio ifanyike nini sasa....tell the world what is happening in Simiyu you idiotic pretenders
View attachment 1049736
Wacha hasira bana😆😆😆😆 njaa iko MLDCYou like taking opinion from lazy people, keep wasting your time while us we're working hard to keep our nation growing,
huna hoja....mna work hard wapi wakati ndugu zenyu wa turkana na baringo wanakufa kwa njaa?.[emoji3][emoji3]You like taking opinion from lazy people, keep wasting your time while us we're working hard to keep our nation growing,
haki wewe ni mjinga na punguani. thibitisha hao watoto wenye utapiamlo ni watanzania.
by the way, ile boycott yenyu inaendeleaje?.
Hawa viazi wa KE wakiona hivyo watakwambia slums hakuna mitaa!Kama hujui kusoma picha nakusaidia with reference to New York Aerial View na kama unajiamini lete picha ya Nairobi yenye dimensions kama hizi
View attachment 1049480
Na wewe, umetokea mlango gani ya choo na bado una nuka, kwani una dhania hamna njaa we pumbavuWhich nation Nairobi or Kenya ???maana nimegundua wakenya Nairobi ndio wanaona ni nchi ila turkana na baringo sio Kenya wapumbavu sana nyiee
Sent using Jamii Forums mobile app
asante kwa porojo.By the way nyinyi watanzania mnajipenda sana, you like hiding your heads in the sand, mukiambiwa ukweli hamkubali ndio maana mnafunga vituo vya habari wakati mnaambiwa shilingi yenyu haina thamani. tukiwachunguza tutapata mna shida mingi sana hata kutuliko ndio maana sisi wakenya huwa hatushuguliki na mambo kidogo kidogo za Tanzania.
Hawa viazi wa KE wakiona hivyo watakwambia slums hakuna mitaa!
Hata kujieleza hujui.tafadhali kwenye mmefikia tumeshidwa kwaelewa, hii tutasema ni kutosoma ama ni ujinga upande wenyu na imekuwa kawaida
Nijieleze kivipi kama wewe mwenyewe haujielewi,Hata kujieleza hujui.
imekuingia vizuri...duh...jk..mbna umewachoma hvoasante kwa porojo.
tuondelee ujinga wako hapa.wahusika wote ni wakenya.Kwanza huyo mmoja ni Mdanganyika.MMeanza kuexport utapeli pia.....Duuuh,Si drug trafficking,Si hii
By the way nyinyi watanzania mnajipenda sana, you like hiding your heads in the sand, mukiambiwa ukweli hamkubali ndio maana mnafunga vituo vya habari wakati mnaambiwa shilingi yenyu haina thamani. tukiwachunguza tutapata mna shida mingi sana hata kutuliko ndio maana sisi wakenya huwa hatushuguliki na mambo kidogo kidogo za Tanzania.
Kila nchi inasheria zake kama kituo cha habari kilienda kinyume na sheria lazma kifungiwe sio nyinyi njaa inauwa watu na mifugo alaf jana rutto anadanganya nchi iko shwari wakat watu wanakufa na mifugo inakufa kwa njaa
hizo propagandanda zimeanza linisasa hizi vitu zote umetuonesha hapa ni porojo na propaganda, hamuaminiki, duh,