Lusematic
JF-Expert Member
- Feb 2, 2017
- 12,051
- 11,839
umeuwawhere is kenya in a current CAF ranking?....nimetumia binocular kuitafuta bado sijaweza kuiona.
View attachment 1048158
Sent using Jamii Forums mobile app
umeuwawhere is kenya in a current CAF ranking?....nimetumia binocular kuitafuta bado sijaweza kuiona.
View attachment 1048158
Ligi kuu ya Tz ndiyo the best in E.A, wamebisha sana kwa sababu ya kikombe cha sportpesa! Hiyo ni kama ranks ya best leagues kutokana na michuano ya CAF. Hapo bado tutaendelea tu kuzikusanya points mwakani pia. Huwezi kuwa na ligi yenye timu tatu kubwa halafu ukawa na ligi dhaifu. Kombe la CECAFA Azam amekaa nalo mpaka linaota kutu!where is kenya in a current CAF ranking?....nimetumia binocular kuitafuta bado sijaweza kuiona.
View attachment 1048158
[emoji3][emoji3][emoji3]wao wanabaki na upuuzi wa sport pesa ambao sisi huwa tunaudharauLigi kuu ya Tz ndiyo the best in E.A, wamebisha sana kwa sababu ya kikombe cha sportpesa! Hiyo ni kama ranks ya best leagues kutokana na michuano ya CAF. Hapo bado tutaendelea tu kuzikusanya points mwakani pia. Huwezi kuwa na ligi yenye timu tatu kubwa halafu ukawa na ligi dhaifu. Kombe la CECAFA Azam amekaa nalo mpaka linaota kutu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ujue Kenya wanaheshimu Sana wazungu. Sasa wakisikia sportpesa bingwa anacheza na Everton wanaona ni jambo la maana mno[emoji3][emoji3][emoji3]wao wanabaki na upuuzi wa sport pesa ambao sisi huwa tunaudharau
Sent using Jamii Forums mobile app
Na Ruaha ndo mbuga kubwa kuliko zote Tanzaniathe lion kingdom episode on nat geowild..
View attachment 1048476
Huwa wanaanzisha vita vya kijinga na faza wa ukanda alafu tz wakijibu huwa wanaona kama wameonewa aisekenya hamna hoja sasa mnachoamua ni kufanya figisu figisu za kipuuzi[emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
mimi ni mfuatiliaji na mtazamaji mkubwa sana wa documentary za wanyama.
mpaka sasa nimeshatazama documentary nyingi sana za wanyama.
leo kupitia national geographic chaneli (nat geowild) nimetazama documentary moja babkubwa sana inayoitwa the lion kingdom. documentary hii imerekodiwa tanzania ndani ya ruaha national park.
ifahamike tu kwamba ktk africa, tz ndio nchi yenye indadi kubwa ya simba kwa sasa.
katika end credit ya hii documentary, wahusika wameishukuru TANAPA kwa ushirikiano.
kwa wakenya, tanapa stands for Tanzania National Parks Authority. View attachment 1048468View attachment 1048469View attachment 1048471
Hapana kwakweli, majiran ebu mkalitizame hilo eneo kwa jicho la kipekee nikajua labda wanywa togwaKaribu Kenya nchi yenye uchumi wa katiView attachment 1048811View attachment 1048812
Sent using Jamii Forums mobile app
check latest fifa ranking;where is kenya in the current CAF ranking?....nimetumia binocular kuitafuta bado sijaweza kuiona.
View attachment 1048158