Edward Wanjala
JF-Expert Member
- Nov 3, 2016
- 8,122
- 6,429
I feel like, .... will Mike Sonko turn Nairobi into Rio or Mexico with his guns??
Hahahahha kaka watu hawakombatiii mabomu wanakwepa wanjala mjanja kakwepa Bomu la pili wewe kilaza plus umelikombatia unaona matokeo yake 😀😀😀😀😀😀Yani Huna cha kuongea zaidi ya kuimba mabom na kujaribu kunitoa kwenye mad.... yani kichwani hamna kitu!!! hehehehe.... natamani sana nikuone live!!! Ntakucheka hadi mbavu zichomoke!
Yani nilivyokukamata utam unadanganya umma! Unafkiri JF ni kijiwe chako cha mateja ukisha-google na ki-techno chako unawashiika!! Hapa tofauti baba.... tutakuomba uthibitishe, na hapo no chanzo cha kukesha siku tatu na povu juu. Najua unakumbuka vizuri, hutokaa usahau!
Twende kazi.... andika unachokijua ehe... mabom....
Hahahahha kaka watu hawakombatiii mabomu wanakwepa wanjala mjanja kakwepa Bomu la pili wewe kilaza plus umelikombatia unaona matokeo yake 😀😀😀😀😀😀
Ingekua hakuna kitu ungejibu sasa mbona umebakia kunguka zunguka hueleweki😛😛😛😛
Kilaza plus kakutana na mwalimu wake 😀😀😀
Siku nyingine ukiona mwenzako amekwepa Bomu na wewe kwepa sio unalivaa utakuja kufa wewe😀😀😀😀😀😀😀😀 sio kila ukionacho dhahabu mengine sumu 😛😛
Pole sana kaka kilaza plus matambua ulivopata shida na Bomu haikua dhumuni langu kukupa Bomu lakini nlikua sina jinsi sasa  🙂🙂🙂
Umenifurahisha sana yani kama vile panya aliengia mtegoni anavotapatapa 
🙄🙄🙄🙄🙄🙄
Pumzika kaka usije niletea kesi bure😀😀
Si lile Bomu lako uliolikwepa mara ya kwanza jamaa yako kalikombatia sasa anakufa nalo😀😀😀😀Ichoboy01, wewe hivi uko league na kila mtu humu ndani??? Tuseme wewe ni Nyamwezi??
hivi huko sub faculty hawakuwafundisha kuhusu mitego coz naona hujui mtego?!Hahahahha kaka watu hawakombatiii mabomu wanakwepa wanjala mjanja kakwepa Bomu la pili wewe kilaza plus umelikombatia unaona matokeo yake 😀😀😀😀😀😀
Ingekua hakuna kitu ungejibu sasa mbona umebakia kunguka zunguka hueleweki😛😛😛😛
Kilaza plus kakutana na mwalimu wake 😀😀😀
Siku nyingine ukiona mwenzako amekwepa Bomu na wewe kwepa sio unalivaa utakuja kufa wewe😀😀😀😀😀😀😀😀 sio kila ukionacho dhahabu mengine sumu 😛😛
Pole sana kaka kilaza plus matambua ulivopata shida na Bomu haikua dhumuni langu kukupa Bomu lakini nlikua sina jinsi sasa  🙂🙂🙂
Umenifurahisha sana yani kama vile panya aliengia mtegoni anavotapatapa 
🙄🙄🙄🙄🙄🙄
Pumzika kaka usije niletea kesi bure😀😀
Umeoma mwenye Bomu kaniuliza nikamwamwambia lile Bomu lako linamuangaisha mwenzio anakufa nalo hhahahahhahaha aise sijapata ona mkenya kilaza plus kama wewe, mwanzo nilijua CHOLO mzii kumbe wewe ndio kilaza plus 😀😀😀hivi huko sub faculty hawakuwafundisha kuhusu mitego coz naona hujui mtego?!
mtego ndo kama ule niliokunasa nao un unadanganya umma! huo ndo mtego!! saivi jiangalie... hutaki kabisa kuongelea kitu elim. huo ndo mtego sasa! kabla hujanasa ulikua unapiga kelele kweli! mara aviation industry.. mara pilot studies...mara faculty of control tower(hii ilikua noma).... mara sub faculty... mara faculty of business.... mara "professional" yako... mara Moscow Aviation Institute.... mara faculty of aerospace... yani ilikua shidah shida shidah tupu!!!
sasa sema mweyewe, toka umenasa kwenye mtego unaham na "professional" yako tena??????? hutaki hata kuskia!!!! hahahahahahaha..... huo ndo mtego KUDADEKI!!!
saivi umebakiza kimoja tu unachokijua, Twende kazi.... ehe.. mabomu.....?
Utazunguuka koteee maneno mengi lakini Bomu no 1 liko pale pale halibanduki😀😀😀😀😀hivi huko sub faculty hawakuwafundisha kuhusu mitego coz naona hujui mtego?!
mtego ndo kama ule niliokunasa nao un unadanganya umma! huo ndo mtego!! saivi jiangalie... hutaki kabisa kuongelea kitu elim. huo ndo mtego sasa! kabla hujanasa ulikua unapiga kelele kweli! mara aviation industry.. mara pilot studies...mara faculty of control tower(hii ilikua noma).... mara sub faculty... mara faculty of business.... mara "professional" yako... mara Moscow Aviation Institute.... mara faculty of aerospace... yani ilikua shidah shida shidah tupu!!!
sasa sema mweyewe, toka umenasa kwenye mtego unaham na "professional" yako tena??????? hutaki hata kuskia!!!! hahahahahahaha..... huo ndo mtego KUDADEKI!!!
saivi umebakiza kimoja tu unachokijua, Twende kazi.... ehe.. mabomu.....?