Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Asanteni jirani kugoma kwenu kumesababusha TAA kuingiza mapato ya landing fee na parking fee pia kusababisha hoteli zetu kupata wateja kwa wingi bila kuwasahau transportation sector๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡Mungu awabariki sana

 
jaribuni huko Tanzania muone vile mtafinya finywa na kukanyagwa kanyagwa

IMG_20190306_201548.jpeg
 
Sure, sasa mikoa yote Tanzania itakua imefikiwa na barabara za lami rasmi na inaunganisha Tanzania na Burundi kwa lami, katikati barabara hii pia kutajengwa hospitals, masoko, bus stands na miundombinu mingine tofauti na barabara in one package, ni mradi wa aina yake ndio maana upo a little bit expensive.
Hapo sasa umenimalizia maswal yangu,Nimejiuliza hivi huo mtonyo wote is izo kms tu kwel inawezekanaje...Ila nmekusoma tayar

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo ilipo ilikua na loss ya miaka 6 sasa wameenda kuongezea another loss juu ya huge loss๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡ #failedstate



3m usd๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡loss ya masaa tu
FE37C083-F050-4830-B983-ECB86E112FF8.jpeg
 
Back
Top Bottom