Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Vidaraja vya hapa na pale
tapatalk_1548249389599.jpg
tapatalk_1537349414958.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijui kama kuna kitu watafanya tena sababu naona hii design wanayojenga ni matokeo ya kufuta design ya kwanza kama zinavyoonekana hapo. View attachment 1026444View attachment 1026445


Sent from my iPhone using JamiiForums

Vituo vya kati ni kweli vitakua vidogo ila kwa design inaridhisha ukilinganisha na hizo za mwanzo zilikua za kishamba.
They are simple and clear na ni vya kisasa,
 
Kwwakuwa mradi bado unaendelea kuna kitu inabidi kifanyike....

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu vituo vya soga na pugu ni vidogo kwasababu ya location yake na pia kwasababu capacity ya abiria itakayohudumia coz hatuwezi kujenga kituo cha kuhudumia abiria 1m wakat capacity yake ni 100k tutakua tunatumia vibaya pesa zetu mm nafkiri serekali iko makini sana kwa hili na wako sahihi
 
Sijui kama kuna kitu watafanya tena sababu naona hii design wanayojenga ni matokeo ya kufuta design ya kwanza kama zinavyoonekana hapo. View attachment 1026444View attachment 1026445


Sent from my iPhone using JamiiForums
Ni kweli ila wasitoe boko wafanye stations ziwe za kibabe,,mfano ya pugu ndiyo ni kidogo lakini tunahitaji design zenye muonekano bomba...

Mfano station ya posta dar ile ni salut iko kisasa zaidi na hata tukicompete kwa hawa majirani hakuna stations zinazoifikia kimuonekano na ubora wa kisasa....na hivyo ndivyo inavyotakiwa kwenye mikoa mingine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu vituo vya soga na pugu ni vidogo kwasababu ya location yake na pia kwasababu capacity ya abiria itakayohudumia coz hatuwezi kujenga kituo cha kuhudumia abiria 1m wakat capacity yake ni 100k tutakua tunatumia vibaya pesa zetu mm nafkiri serekali iko makini sana kwa hili na wako sahihi
Ni kweli hili silipingi ila wasitutengenezee simple rush design inabidi watutengenezee design bomba hata kama ni vidogo...pia hata ile ya moro inabidi watutandikie building matata konki
Au we waonaje,,,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom