Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

 
Kumbe ndio maana baadhi ya nchi hazifurukuti kwa marekani. Halafu nimegundua kitu takwimu za kiuchumi zote zinatolewa na marekani coz kama sio WHO au IMF utakuta ni CIA na unajua wanachokifanya? Huwezi toa takwimu mbaya kwa demu unaemgonga thats why nawaambia majirani wajiangalie vizuri kuchekelea takwimu coz zote zinatoka kwa waUSA na wataendelea kuwapa hopes mpaka wakifika mahali wakajikuta maji shingoni kutakua kushakucha. Ni tahadhari tu, sio lazima wakubali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…