Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Dar port expansioπŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
01C10DBB-1DA4-4921-B19A-F0BB00EC184B.jpeg
F5FB45F0-E8C8-4AE2-87AB-DE0E354A444C.jpeg
 
πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

 
Kumbe ndio maana baadhi ya nchi hazifurukuti kwa marekani. Halafu nimegundua kitu takwimu za kiuchumi zote zinatolewa na marekani coz kama sio WHO au IMF utakuta ni CIA na unajua wanachokifanya? Huwezi toa takwimu mbaya kwa demu unaemgonga thats why nawaambia majirani wajiangalie vizuri kuchekelea takwimu coz zote zinatoka kwa waUSA na wataendelea kuwapa hopes mpaka wakifika mahali wakajikuta maji shingoni kutakua kushakucha. Ni tahadhari tu, sio lazima wakubali
 
120 Reactions
Reply
Back
Top Bottom