Hili dude ni noma,hii avenue itanoga sana miaka si mingi maana ukitokea Ubungo huku kuna barabara nane, huku kwnd posta barabara ya mwendo kasi, li interchange hilo la ubungo hapa jengo la dawasco hostel za chuo pia open area ya UDSM green moja matata miti tu (washauriwe kuweka park kama vipi) ukidondoka hapa jengo la mawasiliano halijawahi kunichosha hili jengo design yake kwa kweli upande wa pili mlimani city...... Hilo eneo linaloonekana wazi hapo kwny picha nafikiri ni la Aga Khan nje ya kujenga kile chuo kikubwa kule Arusha hapo anataka kuweka campus ya Dar mpango ni kwenda Vertical hatari fire!!!!!Afu hiyo barabara ya Sam Nujoma iko kwny ile project ya JICA ya kupanua barabara ya Mwenge-Morroco BRT ikiwa ndani what more can I say......