Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kariakoo hamna kitu ,ni wauza nguo Tu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Umepanic๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡ kariakoo
F69D45BA-034B-4A4E-9D43-4C5281F94184.jpeg
 
The area btn Shekilango to Mlimani city will be another CBD, think of ministry of water tower, nssf tower, Mlimani tower, Mlimani city complex with new hotel, conferences, Aga Khan University plus the new East Africa business center with thousand of shops!

Yap hio sehemu sasa hvi ni yamoto hata nyumba zimejengwa vzr sana pale zimepangwa kwa adabu
 
Hehehe nipanic Kwa sababu ya wauza nguo na dagaa kutoka bukoba na zenji? Kitu ambacho kinafanya niipende kariakoo ni kua ni pasafi tu hamna lingine majengo Hadi kibiashara huwezi linganisha na Eastleigh.

Sent using Jamii Forums mobile app
Khekhekhekhe pole sana endelea kulia na dunia๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‘
 
Kariakoo hamna kitu ,ni wauza nguo Tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sifa yenu baada ya uchoyo, ukabila, ubinafsi,corruption na uchafu ni kukariri maisha, hii sehemu ya town businesses zinaexplode like crazy sasa we endelea kukariri tu, kariakoo ni kwa wauza nguo, Tanzania ni ya 90s najua ndo vichwa vyenu vinasema hivyo
29985341264_b68c7ae593_h.jpg
Cibd_yCWgAEWDcD - Copy.jpg
DrLOnOUWwAMQggv.jpg
IMG_5901.JPG
IMG_20160718_210904_164.JPG
 
Dah! Maana naona unaweka picha za barabara tu hebu weka zile mitaa za mwinyi na idrissa, hatutaki kuona mapambo ya barabara ,kama wewe ni mwanaume kamili weka makaazi ya huo mtaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umezoea slum za kibera na kariobangi unafkiri kila sehemu kuna slum hebu nioneshe huo mtaa wa idirisa๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Umeaona watoto wa kariobangi walivyowatomba leo na kuwapachika uja uzito? We jishebedue tu ,Dar hamna kitu ,ila uswazi Tu,Kwanza wewe ni msee wa gongolamboto au mwananyamala.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wazee wa slums ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ umezoea sana slums ukajua kila sehemu **** slums๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Sifa yenu baada ya uchoyo, ukabila, ubinafsi,corruption na uchafu ni kukariri maisha, hii sehemu ya town businesses zinaexplode like crazy sasa we endelea kukariri tu, kariakoo ni kwa wauza nguo, Tanzania ni ya 90s najua ndo vichwa vyenu vinasema hivyoView attachment 1004939View attachment 1004940View attachment 1004941View attachment 1004942View attachment 1004943
Sifa yenu baada ya uchawi,kupiga vijembe,uvivu,kushinda vijiweni na kunywa mchuzi wa zeruzeru , umeaona uje hapa utoe povu? Endelea kukariri tu ,ila Nairobi sio level yenu mtakariri hadi kiama.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sifa yenu baada ya uchawi,kupiga vijembe,uvivu,kushinda vijiweni na kunywa mchuzi wa zeruzeru , umeaona uje hapa utoe povu? Endelea kukariri tu ,ila Nairobi sio level yenu mtakariri hadi kiama.

Sent using Jamii Forums mobile app
Level ya slums๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ level ya unemployment rate, level ya below poverty line๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‘
 
Watanzania akili zao zimejaa ujinga, magomeni imeshikana na manzese na inashikana na mwananyamala hadi ubungo,ni kipi cha kuvijunia hapo? Mwendokasi au nini? Aso haya wala hajui vibaya ,sina mda wako maana wewe unakaa mpungampunga .

Sent using Jamii Forums mobile app
Pumzika na hzi upunguze hasira na jazba๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
6CD68151-C574-4EB8-89A4-056CC823EBCA.jpeg
258147E7-10FA-4129-A43E-5BDB85AA6B9F.jpeg
81310BA7-7529-45A1-9DA4-234C6C673676.jpeg
 
Back
Top Bottom