Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Good morning!

IMG_7271.JPG



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
kiherehere cha media za kenya ku expose sura ya huyu mwanajeshi kimewaponza.

mara nyingi sura za wanajeshi wa vitengo vya "special operations" hubaki kuwa siri. ndio maana mpaka leo mmarekani haijatoa picha au majina ya navy seal walioshiriki kumua osama bin laden.
Screenshot_2019-01-23-08-46-47-892_com.facebook.katana.jpeg
 
kiherehere cha media za kenya ku expose sura ya huyu mwanajeshi kimewaponza.

mara nyingi sura za wanajeshi wa vitengo vya "special operations" hubaki kuwa siri. ndio maana mpaka leo mmarekani haijatoa picha au majina ya navy seal walioshiriki kumua osama bin laden.
View attachment 1002424
Kwa mwendo huu, ikitokea next time wataogopa kusaidia!
 
kiherehere cha media za kenya ku expose sura ya huyu mwanajeshi kimewaponza.

mara nyingi sura za wanajeshi wa vitengo vya "special operations" hubaki kuwa siri. ndio maana mpaka leo mmarekani haijatoa picha au majina ya navy seal walioshiriki kumua osama bin laden.
View attachment 1002424
Hao wakenya huwa hawajuagi mbinu za kivita kabisa ....hiyo ni kawaida yao ni wapuuzi sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom