Kwa mwendo huu, ikitokea next time wataogopa kusaidia!kiherehere cha media za kenya ku expose sura ya huyu mwanajeshi kimewaponza.
mara nyingi sura za wanajeshi wa vitengo vya "special operations" hubaki kuwa siri. ndio maana mpaka leo mmarekani haijatoa picha au majina ya navy seal walioshiriki kumua osama bin laden.
View attachment 1002424
BRT phase 2 inakuja kukutana na phase 1 pale magomeni, nazani muda siyo mrefu na pale lazima wataweka flyover. Halafu flyover siyo expensive, mpaka 2025 Dar inaweza ikawa na flyover zaidi ya 10[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji116][emoji116][emoji116]
Hao wakenya huwa hawajuagi mbinu za kivita kabisa ....hiyo ni kawaida yao ni wapuuzi sanakiherehere cha media za kenya ku expose sura ya huyu mwanajeshi kimewaponza.
mara nyingi sura za wanajeshi wa vitengo vya "special operations" hubaki kuwa siri. ndio maana mpaka leo mmarekani haijatoa picha au majina ya navy seal walioshiriki kumua osama bin laden.
View attachment 1002424
Haya sasa mambo ni firee kumekucha[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji116][emoji116][emoji116]
Tulianza navitu vyamsingi sasa tumegeukia huku nakoBRT phase 2 inakuja kukutana na phase 1 pale magomeni, nazani muda siyo mrefu na pale lazima wataweka flyover. Halafu flyover siyo expensive, mpaka 2025 Dar inaweza ikawa na flyover zaidi ya 10
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao wakenya huwa hawajuagi mbinu za kivita kabisa ....hiyo ni kawaida yao ni wapuuzi sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanadhani vita ni advertizment....""[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] wacha nicheke kwa hili hawajui kama security inahitaji usalama na usiri zaidiWanadhani kuwa kila kitu ni kukiwekea kiherehere cha kukitangaza, sifa zinaua
Wanadhani vita ni advertizment....""[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] wacha nicheke kwa hili hawajui kama security inahitaji usalama na usiri zaidi
STUPID KENYAN ARMY & GOVERNMENT[emoji1][emoji1]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza tulitandaza lami tanzania nzima na sasa ndio tunapunguza misongamano jijiniTulianza navitu vyamsingi sasa tumegeukia huku nako
Wanadhani vita ni advertizment....""[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] wacha nicheke kwa hili hawajui kama security inahitaji usalama na usiri zaidi
STUPID KENYAN ARMY & GOVERNMENT[emoji1][emoji1]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli.. kuweka BRT ndiyo changamoto!! Ndiyo maana ni miji 3 tu ina BRT Africa na iliyo fanikiwa ni ya Dar, ila flyover ata Bujumbura wanaeza jenga.Tulianza navitu vyamsingi sasa tumegeukia huku nako
😀😀😀Unakumbuka ishu ya US kupanua base kenya[emoji28][emoji28][emoji28],nayo ikawa habari.
Kuna uhuru na uhuru wa manyani.