ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Bila shaka atakua mkenya😂😂😂😂😂Kuna mtu niko naye apa kaona hii picha kaniambia mwanangu dubai ni kuzuri nimebaki namshangaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Bila shaka atakua mkenya😂😂😂😂😂Kuna mtu niko naye apa kaona hii picha kaniambia mwanangu dubai ni kuzuri nimebaki namshangaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Gx 100 watu wameipiga paranja😂😂😂
wabongo kweli ni watu wenye dharau sana😀. nasikia hii ni zanzibar.Gx 100 watu wameipiga paranja😂😂😂
Ama kweli mjapan lazma azimie
uwanja wa ndege wa "ukundu" wapata mnara.
View attachment 998283
halafu tulipokuwa tunajadili kuhusu viwanja vya ndege walikuwa hawaishi vijembe vya kudharau viwanja vyetu.
Please note the difference between international departures and local departures, huo ndio ujumbeUkitaka kujua sisi sio Level yao kwenye Masuala ya Viwanja vya Ndege,
Angalia hii picha nimeipiga jana pale JKIA,
Kuna direct flights to Z’bar, KIA na JNIA,
Na soon tutakuwa na flights za Nairobi- Mwanza,
Imagine Viwanja, yaani kuna direct flights to Dar, Kilimanjaro na Z’bar, wakati Kenya ni Nairobi pekee, hakuna international flights huko sijui kisum au Mombasa,
View attachment 998909
Uzuri wanatuelewa