Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

EAC44636-F2E4-4D57-8A3D-68F7F85CFB10.jpeg
 
waingereza huwa wanasema "numbers don't lie".

page ya air tanzania kule instagram ndani ya miezi minne tu tayari inaizidi page ya KQ kwa idadi ya followers.

kwa watu ambao ni business minded katika masuala ya digital marketing, hii ina maana kubwa sana.

bado katika ukurasa wa twitter na facebook . kadili siku zinavyoenda, air tanzania itakuwa na followers wengi kwenye digital platforms kuzidi kenya airways.

tutaelewana tu...View attachment 998248View attachment 998249
Hakika yajayo yanafurahisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom