REDEEMER.
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 8,918
- 14,894
Just a question in TZ it's only Dar that is developed as compared to Kenya?
Just a question in TZ it's only Dar that is developed as compared to Kenya?
Mkenya anaeza kukwambia render hio😂😂
Na kuna ingine inaitwa githurei😂😂😂
Uongo mbaya hata mimi nimeingali hiyo picha mara mbili mbili.
Uongo mbaya hata mimi nimeingali hiyo picha mara mbili mbili.
Zingine hizi hapa mkuuUongo mbaya hata mimi nimeingali hiyo picha mara mbili mbili.
Nimecheka sana hii nyimbo na kuna ingine hivi utakufa mbavuwakenya wameanzisha movement ya kuzitaka media za kenya zicheze mziki wa kenya.
na hii ni moja ya ngoma wanayotaka ichezwe na media zao. ngoma inaitwa matako.
kwenye top 20 ya slum wenyewe wanazo 8Na kuna ingine inaitwa githurei![]()
Wakenya na mauchafu ni km pipa na mfuniko,dugu moya
😀😀😀
hizo ndio nyimbo za wakenya.
kuna kiambiu,korogocho,kawangware na kangemi alafu kuna mukuru kwa njenga
OMG😳😳kuna kiambiu,korogocho,kawangware na kangemi alafu kuna mukuru kwa njengaView attachment 994618View attachment 994619
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu haunizidi mimi


yaani wakora wameamua kuingia kwenye industry kivyao vyao....dah wakenya ni shida ,wakora wameamua kushika pen nakuandika verse za ajabu 
