Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Damn, looks hot!!!!
DwJ8I--XgAAUmr1.jpg

Courtesy: Picha za simu
 
wakati huhuo, siasa zao za kikabila zimeshaanza kuchukua nafasi mapema sana kabla ya muda rasmi wa uchaguzi.

sisi wengine tulishatabili kwambwa kabla ya uchaguzi wao wa 2022,lazima mkikuyu atahahikisha mkelenjini william ruto hawai rais wa kenya licha kuwa mtu wa karibu na uhuru kenyatta.
View attachment 978716
Ukweli kenya hakuna chama cha siasa bali vilivyopo ni vyombo vya kuwafikisha madarakani viongozi.
 
Hili kama ni Kenya, vikosi vyote vya kijeshi vingewapa mpaka escorts mpaka wanaotaka sababu ya Corruption, Tanzania kuna uzalendo sana just imagine police kukataa hongo ya zaidi ya million 300 hata pensions zake haxifiki million 100
Thaman ya gold iliokamatwa ni trillion 3 bro
 
which part of dubai did you take this photo bro?. i assume this is not africa.
I'm actually surprised myself, we have to get used to these scenes in Bongo now though, no kufananisha these places with ulaya anymore. Oh and I didn't take this photo, I found it on twitter.
 
Back
Top Bottom