Tz_one
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 3,039
- 8,170
Upanga can rival mombasa kwa Appartments
Upanga can rival mombasa kwa Appartments
Mombasa bado sanaUpanga can rival mombasa kwa Appartments
Mokorino good morning!Hii KAKUMA mnaishi watu kama wewe na jenerose.
Nairobi ni mji wa maana boss, kila mtu anajua.Nyie mnatakataka ngap apo NBO? Do you think Nairobi ni mji wa maana sana ukiondoa maeneo machache yanayofahamika?NBO hakuna kitu inamsumbua mtu
Waache tu waendelee kutoa nachoMkumbuke tulishachukua ubingwa wa dunia Brazil kwa serengeti boys back in time
Siunajua Mbio faniyake MwiziWashazoea kukimbia kama wakimbizi
HahahaaaaaaaaSiunajua Mbio faniyake Mwizi
Na unaambiwa Wakenya Kumi 8 wezi
wataachaje Kukimbia
Hii kitu ipo wazi kabisa......yaani Tz ni taifa teule kutoka kwa muumba....Halafu mseme ni Kenya shenzitypeView attachment 968774




At least someone was brave enough to write this, exposing the lies they always tell us here
View attachment 968895



treni hii ya kenya nasikia ni ya majaribio wataleta toleo jipya karibuni😀😀
hawana ujasiri wa kukumbia....ukabila umewafanya wakenya wakose national solidarity.kibano heavy kimekimbiza nyang'au wote,
Wameenda kutafakari kama wana nairobi nyingine au ni hii hii wanayoishi![]()
wewe tulishawahi kukupa kibano heavy 2017,ukatoweka jf. ukajificha for a half a year, ukawa unaingia jf kwa kujificha.😳😳😱😱😡😡😡 kitu ntasema tu. Yaani hata sijui niseme. 😡😡😡😡😱😱😳😳😳 Wakenya tusije tena kujidhalilisha kufananisha mji wowote Kenya na hii takataka kama sio Dadaab ama Kakuma. NKT😡😡😡
NIMEKOMA KABISA KHERI MOD AFUNGE UZI KABISA. WHAAAAAAAT