Kumbe unajua kuna mapungufu tuwekee mafanikio yake.
Hahaha! Mkuu hapo naona kabisa hata kwa uzalendo huwezi kupanda ATC kwenda China! Gold, do! Una check-in kupitia Business Class, unaruhusiwa excess baggage free, unakula vitu vya Businss Class Lounge etc. Halafu lounge za Emirates baba!Sana sana wataomba ubalozi uwasaidie wawaweke kwenye guest za vichochoroni. Ukweli sijafika India ila nimekaa sehemu zote zinazoizunguka. Watu tumezoea kuweka 5 stars and 4 na kulala una kula ukikamua kulala Airport. Pale Dubai ukienda ile ya Gold, Silver na Platinum unamzidi aliyelala hotelini. Halafu uniambie haya ya kuletwa?
Wazazi wa aina yako raha kweli 'hamna hata cha ajabu, maana hata na wa jirani naye kapewa mimba kama wetu'Hata basi za Modern kutoka Mwanza kwenda Nairobi mara nyingine huwa zinabeba hadi watu 15 kwenda Nairobi. Biashara kuna kupata na kukosa.
UmechelewaSiti ya mbele
Mleta mada kazungumzia kuhusu Airtanzania, hajazungumzia mashirika ya ndege ya Africa. Sasa wewe unasema Ulaya, kwani ulaya ni nchi? Ni bara lenye nchi nyingi sana sasa wewe taja ni shirika la nchi gani huko ulaya ambalo ni kawaida kubeba abiria 6 na wafanyakazi 6 kwenye ndege yenye uwezo wa kubeba abiria 90.Mbona ulaya ni ya kawaida sana haya
Hatutaki mtu anaota ndotoni akiwa amelala na mafaili yake kesho yake akakurupuka kuagiza madege bila kufanya feasibility study. Matokeo yake ndiyo hayo dege la kubeba watu 300 linarushwa na abiria sita! Mnamtetea na kusifia lakini kiuhalisia ni janga kubwaMinitu kama nyie ndio sawa na wale wana wa israel wametoka utumwani wanafika jangwani wanatamani tena kurudi utumwani kwa sababu kule wameaacha masufuria ya nyama na pilau!
Hivi hao walioweza waliaanzaje? Unafikiri waliibuka tu?
Baba la baba hiyo route unayoilinganisha ni tofauti mno aise.Hebu jaribu kufikiria kiasi chako.Not ready to swallow everything from twitter. Kweli, ni kazi ngumu.
Btw., KQ siwasikii tena na safari yao ya Nairobi New York! Done? Collapsed, failure? Hahaaa!
"Pamoja na rais kutununulia ndege" alitoa pesa mfukoni mwake?Wewe mbona hujaelewa? Kwa sababu ya kuleta hasara kutokana na kutokuwa na business plan ya brand new long range aircraft (Greamliner) pamaja na raisi kujitahidi kuwanunulia hiyo ndege kwa cash maana mwanzoni walikuwa wanasingizia hawana ndege!!!!!!!!!!!! It is business time siyo muda wote ni wa porojo za kisiasa mkuu
Sasa Greamliner ndio nini?Wewe mbona hujaelewa? Kwa sababu ya kuleta hasara kutokana na kutokuwa na business plan ya brand new long range aircraft (Greamliner)...
Hahahaaaaaa..... Ni mawazo tu mkuu.Wazazi wa aina yako raha kweli 'hamna hata cha ajabu, maana hata na wa jirani naye kapewa mimba kama wetu'
Wampakie jiwe na msafara wake siti zote hizo zinajaa
Mkuu ni wapi huku mbona tz ya magu imepinduka na kupiga mweleka kama mv Nyerere???
Ukichukulia bajeti yake haijaizinishwa na bunge!Yah right ...........!!
Kwa hiyo zikiliwa na Escrow, EPA pia tusilalamike. Maana kuinvest ovyo nao ni ufujaji wa mali ya umma!!
Not ready to swallow everything from twitter. Kweli, ni kazi ngumu.
Btw., KQ siwasikii tena na safari yao ya Nairobi New York! Done? Collapsed, failure? Hahaaa!