ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Labda ww post picha mpya tuone😂😂😂Na tena unarudia picha
Labda ww post picha mpya tuone😂😂😂Na tena unarudia picha
Hakuna jengo dar limepita35 floors kadanganye dada yako ..Tatu hizo hapo,
Hii ni ya 4, zote hizo ni above 35floors
View attachment 961410
Na hizi mbili ni ya 5 na 6
View attachment 961411
Now Dar Got 6 over 35floor buildings,
How many are they in Nairobi?
Hahahaha bwege sana hata huna aibu nchi kama rwanda haina madini ni landlocked na ina better quality of roads kuliko tz
Britam ,uap,prisim etc
Mkuu huu uwanja unaweza kuukuta naira land huko mungiki wakisema upo nairobiUsipende kuonesha hasira mbele za watu
View attachment 959736View attachment 959738View attachment 959739
Na nyie jengeni kibera. Sisi tunajenga popote tunapotaka.
Picha zote za far no low qualityThat photo has a very low quality, those are not slums


Hadi hii hapa

wacha kua on denial Kama ulaya vileLast weekend Bandari team ya Kenya ilikuja kunyorosha watoto huko hamna kazi huko. Lakini hizi ulizoweka zote zinanyoroshwa Tu na Narok Stadium, Acha Kisii ama Bukhungu.
Yaani kitu kikubwa kimefanyika hapo uwanja Dar ni mashindano ya Quran.
Westland kwa iyo picha hata sio robo,cbd kwa iyo picha ni robo alafu unaropokwa mini,....haitawai kua siku ata moja Nairobi itaingia kwa picha moja
Lete evidence hata ya plate number km hapo ni kenya kweli
Any aerial pictures ya Nairobi lazima ionyeshe upperhill upande wa south juu distance ni like 2kmIs britam uap na prism ziko CBD???![]()
ichoboy achana na huyo mwehu, anataka kila nchi ipakepake magari ya polisi yote rangi nyinginyingi kama nursery ndio aone kua ni polisiHuoni sign ya PT maana yake polisi tanzania 😂😂😂😂😂👇👇👇👇
View attachment 961540View attachment 961541View attachment 961542
Kwa hiyo unabisha kuwa hii sio TZ??😂😂😂🤣🤣🤣🤣👆👆👆Tuliwambia TZ sio ya 90's.. Kwanza neno Polisi ni English or Swahili?? 😂😂😂Fala anapost vitu vimefichwa anataka kuniambia eti hizi ni za TanzaniaView attachment 961538View attachment 961539


Do you also agree that Rwanda has also better roads than You and Soth Africa😂😂😂😂Official link itasaidia nn ama itafanya muwe na better quality of roads than Rwanda