sevenup
JF-Expert Member
- Aug 17, 2018
- 2,548
- 2,448
Anyway mlijaribu kwa kujenga hizi tatu lakini kujenga zingine itawachukua miaka MiaUnajua nyie mnachekesha. So kuwa na building ndefu ndio kitu gani sasa? Dubai in 2004 unajua ilikuwaje? London, Shanghai in 2004 hazikuwa kama zilivyo leo. Sasa hivi kuna skyscraper boom na haijalishi miaka hiyo ilikuwaje. Kuweni educated for once basi.





