Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tukiangalia roads, Kisumu tops
Malls, Kisumu tops
Residential development, Kisumu tops
Airport,Kisumu tops
CBD, Kisumu tops
Markets, Kisumu tops
Everything Kisumu imeshinda nazo Arusha
Wewe nakwambia kwa arusha huiwezi kwanzia roads, public transport, hotels, malls, real estate, buildings density yani kwakifupi arusha iache sio size yako😂😂😂😂
 
MLDC hakika furahi day kwenu ipo vizuri....
Haya ndiyo maisha halisi ya nairobi na wakenya woote kwa ujumla ..hebu nisiongee sana tufanye kuangalia kidogo

CLASSIC MEGA CITY NAIROBI
1510337_0.jpeg
images (2).jpeg
kvgfr7zutgvkb58b1af848ed07.jpeg
1488149.jpeg
 

Attachments

  • kvgfr7zutgvkb58b1af848ed07.jpeg
    kvgfr7zutgvkb58b1af848ed07.jpeg
    33 KB · Views: 24
Talk of a jealous neighbour, Arusha or Mwanza will never have flyover like that.
Tunajenga flyover kwenye umuhimu hatujengi flyover kupoteza pesa za umma kama mlivofanya nyie mpaka leo madeni yako kichwani kuyalipa hamuwezi😂😂😂😂
 
Yaani humo wanaingia binadamu,magodoro,viti,panya,mbuzi,kuku,maembe na vifurushi vya viazi n.k.....

Yaani ni taflani halafu ngoma unamwambia dereva amsha baada yakuwa top kupindukia
Bila kusahau kunguni ndio nyumbani kwao😂😂😂😂😂😂😂
 
Shida ya maji nairobi ni kubwa sana tena sana yani katika mambo yanawatesa ni maji alaf mtu anasherekea eti chelsea kuwaeka kwa map
hawa majamaa huwa nawasikiliza hoja zao halafu huwa nawacheka kwa dharau......yaani wanamaisha mabovu ,magumu sana yaliyotapakaa uchafu
 
Back
Top Bottom