ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Mbona wakosoaji wapo wengi tanzania na hawajachinjwa we ulishawah sikiza bunge la tanzania????😂😂😂😂Wapi hao watu wameshikwa shida yako n nn we nilikuambia david ndii angekuwa tz magufuli angekuwa tayari amemchinja tanzanian haina opposition na democracy ndio maana unashinda kwa social media ya kenya ukisave na kudownload tweet za wakenya kenya kuna democracy ndio maana ndii anaongea vle anataka huko kwenu ukibweka kidogo magufuli amefinya makende kenya middle income na tz ldc mbona hamuelewi
Dr ndii akisema ukweli munamuona mjinga leo nchi imeingia kwenye shimo la mavi kila mmoja anamtafuta mchawi😂😂😂