Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kuna nchi zina higher PPP than USA lakini hazijaipiku. Likewise, tz has a higher PPP than Kenya but still a laggard
Nimekuambia toa Maelezo kila kimoja kinapima nini, badala ya kujibu unatoa mifano ya USA. Nimekuambia GDP inapima utajiri wa nchi/serikali, wakati PPP inapima utajiri wa mwananchi, sasa unaposema hizo nchi zenye PPP kubwa kuliko USA lakini hazijaipita, unamaanisha hazijaipita katika kipengele gani wakati USA ni nchi ya 5 katika utajiri wa watu mmoja mmoja?
 
88 Nairobi tower....... excavation still going on
tapatalk_1541963107415.jpeg
tapatalk_1543328216494.jpeg
tapatalk_1543328227702.jpeg
tapatalk_1543328246359.jpeg
 
Back
Top Bottom