El Matador
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 7,132
- 3,936
Wanaskianga tu Eldoret......wamekipataLol. There are no monkeys here unless you are
Wanaskianga tu Eldoret......wamekipataLol. There are no monkeys here unless you are
Sasa we fikiria,then niambie kama mchina alikosea kuwaita nyani..Lol. There are no monkeys here unless you are
Kipimo kizuri cha kupima utajiri wa kipato cha wananchi mmoja mmoja ni PPP, wakati GDP inapima utajiri wa serikali. Serikali ya Nigeria ni tajiri, lakini wananchi wa Seychelles ni tajiri zaidi kuliko wa Nigeria, South Africa, na Egypt.Lol.East Africa is the poorest region in Africa.View attachment 947972
Ati serikali imemwaga pesa dodomaKuna nyani humu anarudia rudia picha za kijiji cha eldoret









Sorry, can you tell me a little bit about PPP?Kipimo kizuri ni GDP (PPP) per capita.
Unaongeakuhusu exchangerate yann?
Ninakuomba utueleze kidogo tofauti ya PPP na GDP per capitalNajua unaongea kuhusu PPP sababu mmeshinda Kenya ila per capita mpo nyuma
Control tower na cargo terminal zimekamilika sasa wanaingia kwenye passenger terminal👇👇👇👇👇👇😂😂😂😂Lol.mwanza airport
View attachment 947951
Hapa umedefine, Mimi nilitaka tofauti ya kiuchumi sio tofauti ya lughaPer capita ni GDP/population
P PPP ni purchasing power parity.
Now you can ask me how the former and the latter are calculated
Sio kweli hata kidogo, all developed countries have both, higher GDP and PPP. Show me which developed countries are you referring to?Lemme ask you a quiz first, explain to me why developing countries tend to have higher PPP than nominal while developed countries have higher nominal than PPP?
Nakujua vizuri sana. Hupendi kushindwa
Ndio unajua leo!Lol.East Africa is the poorest region in Africa.View attachment 947972
Sasa capital city si ipo mbugani? kama nyani wanaishi msituni ulitaka awaiteje watu wanaoishi nchi inayowakilishwa na mji uliopo mbugani?That's not a fact. You are reasoning like a kindergarten kid. Nyani wako msituni. Aliyewaita bongolala hakukosea.