Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Dodoma amateur bado
ouyk1Ai.jpeg
 
Lol. There are no monkeys here unless you are
Sasa we fikiria,then niambie kama mchina alikosea kuwaita nyani..
Msumbiji wako na coast ndefu sana,wana bandari zaidi ya tatu,waache kutumia bandari zao waje kutumia za kwenu,aisee ni rahisi sana kumdanganya mtu mjinga..
Wakenya ni nyani,ni nyani,hiyo ni fact from chinese boy..
 
Lol.East Africa is the poorest region in Africa.View attachment 947972
Kipimo kizuri cha kupima utajiri wa kipato cha wananchi mmoja mmoja ni PPP, wakati GDP inapima utajiri wa serikali. Serikali ya Nigeria ni tajiri, lakini wananchi wa Seychelles ni tajiri zaidi kuliko wa Nigeria, South Africa, na Egypt.
 
JIRANI POVU RUKSA NINA NGUO ZA KUFUA - MAKTABA YAZINDULIWA LEO


June 2 2016 Rais John Pombe Magufuli aliweka jiwe la msingi ujenzi wa Maktaba mpya ya Chuo Kikuu cha Dar es salaam ambacho Mkuu wa Chuo hicho ni Rais mstaafu Jakaya kikwete.

Ujenzi wa maktaba hiyo ya kisasa umeshaanza ambapo umefadhiliwa na Serikali ya China na utagharimu zaidi ya dola milioni 40 na eneo la ujenzi ni mita 200, maktaba hii itakuwa kubwa na ya kisasa kupita zote Afrika na inatarajiwa kujengwa kwa muda mfupi ambapo makandarasi wa maktaba hiyo wanatoka China.



Dnhxsy4XsAAHtYc-750x375.jpg
111JQQ0-0.jpg
4.jpg
dsc-0089_orig.jpg
hqdefault.jpg
igres.jpg
images.jpg
uni+pic.jpg
 
Lemme ask you a quiz first, explain to me why developing countries tend to have higher PPP than nominal while developed countries have higher nominal than PPP?
Nakujua vizuri sana. Hupendi kushindwa
Sio kweli hata kidogo, all developed countries have both, higher GDP and PPP. Show me which developed countries are you referring to?
 
Back
Top Bottom