Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tafuta country moja tulinganishe na India. Developed one halafu we will come to Kenya and Tanzania. Kama PPP ni kipimo kizuri sielewi kwa nini mpohapomlipo
Usichukulie mfano wa nchi moja ukalinganisha, ulipaswa uchukue nchi Kumi au 15 kutoka kila kundi, then ulinganishe uangalie trend ikoje. Huwezi kuchukua mfano wa nchi moja, then ukachukulia ndio zote.

Ni matumaini yangu kwamba ulishawahi kufanya scientific research, tumia principal ya scientific research methodology kama hujafikia conclusion.
 
Ohio Street Dar Es Salaam .

IMG_6014.JPG
 
Mj
president nyusi anajua jinsi mlivyo wajinga akaamua kuwadanganya,nanyi mkadanganyika!
What a shame..
sasa unataka kulia juu nyusi alisign deal ya kutumia mombasa port nilikuambia kama unashida enda maputo ubonge na nyusi c mmepakana na mozambique ama
 
Back
Top Bottom