Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 75,705
- 107,150
Huyu ni zaidi ya hiyo amount kumbuka he wants to acquire Wananchi Group that owns Zuku TV!๐๐๐๐๐๐น๐ฟ๐น๐ฟ๐น๐ฟ๐น๐ฟ๐น๐ฟ
View attachment 942627
Huyu ni zaidi ya hiyo amount kumbuka he wants to acquire Wananchi Group that owns Zuku TV!๐๐๐๐๐๐น๐ฟ๐น๐ฟ๐น๐ฟ๐น๐ฟ๐น๐ฟ
View attachment 942627
huyo mbumbumbu atathibitisha nini sasa!Akithibitishs nitag๐๐๐๐
Wakenya bado wanapost picha za nai? Acheni kuishusha hadhi bana. Nai si ya kulinganishwa na upuuzi
Ali Mufuruki1. Rostam Aziz
2. Bakhresa
3. Mo. Dewji
4. Ally Awadh
5. Shekhar Kanabar
Hao ni wa Mengi pekee. Next?
Nani kaleta source we unajua maana ya official link ameleta nani???๐๐๐๐Source gani na ulishaletewa?or you want a source which has ranked dar above Nairobi? I am afraid it is nonexistent.
Eti ina elimu hao ndio engineers walioenda kula bajia mashuleni๐๐๐๐๐๐ kadoda11 kuja budaaa
hata mimi nahisi ni yeye... ila acha kwanza tuendelee kujadili mengine. nililigundua hilo mapema sana.
nikikumbuka turkana sinywi hata majiMtu yeyote anaesema kenya ni bora kuliko Tanzania nafikiri haijui kenya vizuri unless awe ni mkenya anetafuta attention
Kenya Today
Women in Kiambu County PROTEST against SEX STARVATION, turning to Nyanza, Western for '
View attachment 942444View attachment 942442View attachment 942443
Owner wa hili jengo ni Mkikuyu!
Funga utaludi siku mungu akijalia๐๐๐๐๐๐๐ http://www.theeastafrican.co.ke/bus...state-Nairobi/2560-3807578-8bhfuvz/index.htmlI need any source,,or anything that says Dar is ahead of Nairobi nifunge account yangu
Ukinionesha BRT nairobi nitag๐๐๐ ukikosa naomba unioneshe ile misukule yenye kunguniI need any source,,or anything that says Dar is ahead of Nairobi nifunge account yangu
Ok Dar Vs Mombasa.
Nairobi Vs Jo'burg
Mombasa is a lovely East Africa City. Bigger organised and more beautiful than any other city in the region a part from Nairobi. Both cities in Kenya. Closely following Mombasa is Dar es salaam which is a bit bigger than Kampala in GDP and real estate. The later cities should work tirelessly as smaller cities in Kenya are growing fast and they are likely to overtake them from position 3 and 4 respectively.
Wewe umeleta ya nairobi unajizungusha toka asbh nimekwambia niletee official source ya GDP nairobi๐๐๐Ichoboy lete GDP ya dar basi
Niletee official source nasubiria๐๐๐๐๐ usiniletee maneno ya gengeni hapaNairobi ina GDP ya $50B .Vipi kuhusu dar ama unaaibika kwa sababu ni nusu ya Nairobi?
Hivi kama una pesa nyingi lakini unaishi kwenye slums na unajisaidia katika mifuko ya plastics, how do you feel?Doubting Thomas. Unafikiri dar INA GDP kubwa kuliko Nairobi? Kalale uote tena