Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
1669C20E-339F-4CFC-936F-F347D8B690EB.jpeg
 
haka kabinti ka kikenya kana mahaba mazito na mwanamziki wa kitz Aslay.

comment yake hii kule youtube inajieleza wazi.

comment kama hizi huwezi zipata kwenye videos za wanamziki wa kenya. yaani huwezi kupata binti wa kitanzania anaandika maneno mazito kama haya kwenye videos za wakenya.

hii inasababishwa na mziki mbovu wanaoimba wakenya.
View attachment 941387
Najaribu kuunganisha dot hapa,maana hilo jina na huo mwandiko km vile [emoji2]
 
Ile ni airport au uharo wa airport hehehe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ukienda Nairobi pita pale langata kule Carnival, halafu uone hiyo airport wanapost humu, ni kichekesho mkuu, thats why huwa naona wakenya ni watu wenye akili ndogo sana.
 
Sasa huu ni Mradi wa Kufungia mwaka,
Tupa mbali, tupa kule sijui Liver Mall na Ufala gani,

This is East Africaโ€™s Bussiness and Logistics Center, at Ubungo Dar es Salaam,
Now started selling even before construction complete

View attachment 941474View attachment 941475View attachment 941476View attachment 941477View attachment 941478View attachment 941479View attachment 941480

Cheki wachina walivyotema madini hapa: ไธŠๆตทๅ‡Œ่ˆชๅฎžไธš้›†ๅ›ขๆœ‰้™ๅ…ฌๅธ
 
Kama sasa hivi mnazamia Bongo kama mnaenda ulaya, tukiwafurusha mnalia kiasi cha kusaini Tweeter online petitions,
Imagine bongo in 2020 as we complete
JNIA u/c
SGR u/c
Sarenda Bridge u/c
Interchanges and Flyovers u/c
BRT phase 3 and 4, u/c
Superhighway Dar to Chalinze (100km) u/c
Dar port Expansion u/c

Aisee i think we should restrict these hungry kenyans, we will ban visa free entry for kenyans.

Hua wanashtaki everywhere tukizuia uzamiaji
 
Back
Top Bottom