Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kweli ile ndoto ya kua uyaone sasa imetimia😂😂😂😂😂😂👏👏👏👏
Chinnese workers 5000
Kenyan workers 1600 in their home land😁😁 na pesa wanaolipwa wachina 5000 inaeza lipa wakenya 15000




hiyo 2027 tutakuwa tumeshamalizana na SGR link za Mwanza, Kigali na Kigoma
 
Sasa ninyi mliojipendekeza kwa wazungu mkashindwa kuwasaidia waafrika wengine mlifanya jambo gani la maana hadi Leo mnaomba msaada wa chakula, mbona mnabembeleza Southern African countries waondoe visa?
Ubinafsi uliwazidi nikajua wameanza kujenga nchi zaidi ya miaka 40 labda watafananishwa na singapore kumbe uozo mtupu 😂😂😂😂
 
Janerose mzalendo kenya imekuwa uchafu, au ndio kila mtu anachukua chake mapema?
Kenyatta alishachukua mapema anamiliki robo ya kenya😂😂😂👇👇👇
F7CE1A35-28BD-49BB-9A08-AD5CDCAB701D.jpeg
 
😂😂😂👇👇👇👏👏👏👏pamoja na kukataa ushoga na kutowasomesha wasichana waliopata mimba wametoa pesa

 
Swali la maana je hizo pesa za kuwalipa wachina 5000 wanapata wapi .....na kiuhalisia lazima foreigners watakuwa wanalipwa pesa ndefu kuliko wakenya.....
Jibu jepesi tu mkopo noma " ni hatari wacha wawe na matumizi mabovu kwa pesa za mkopo...yaani kwa hiyo idadi bora wangewaacha wachina wajenge peke yao hiyo reli....


Halafu utashangaa anatokea mpuuzi mmoja wakikenya atajibu kuwa wameingiza more foreigner income
Kweli ile ndoto ya kua uyaone sasa imetimia
Chinnese workers 5000
Kenyan workers 1600 in their home land na pesa wanaolipwa wachina 5000 inaeza lipa wakenya 15000



 
Back
Top Bottom