Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mombasa mlipaharibu wenyewe, pesa zote mmehamishia NBO, Mombasa ingekua vizur sana,
Dar Ni zaidi ya Jiji ,japo wanahamia DODOMA hawa lakin Dar hailali ,nikiangalia Mombasa napata hisia flan hv kuna vitu mmejaribu...
Mwanza on the other hand has a long way to go
 
Mombasa
FetchImage-57.jpeg
FetchImage-58.jpeg
FetchImage-59.jpeg
FetchImage-60.jpeg
FetchImage-61.jpeg
FetchImage-62.jpeg
FetchImage-63.jpeg
FetchImage-64.jpeg
FetchImage-65.jpeg
FetchImage-66.jpeg
FetchImage-67.jpeg
 
Bro naona unaenda nao sawa,baada ya nairobi kukata pumzi sasa wanajiliwaza na mombasa,ni sawa wameishiwa mabomu na risasi wanaamua kurusha hata kiatu,itafuata kofia,harafu shati
I like how Tanzanians speak the opposite
 
Washapotea hawa wakenya naona ukichaa umewapanda sasa
Bro naona unaenda nao sawa,baada ya nairobi kukata pumzi sasa wanajiliwaza na mombasa,ni sawa wameishiwa mabomu na risasi wanaamua kurusha hata kiatu,itafuata kofia,harafu shati
 
If you have been there utajua namaanisha nini. Kuna sehemu ya waterslides mbele ya whitesands. Tanzania ni hapatu kwani ni miujiza kufika hapo.
Nikuwa pale Dar tukipiga mapicha na majamaa zangu. Hizo three blue towers zinatokea vizuri Sana.

Kitu kimoja cha kuudhi ni uchafu Tu chini ya haya majumba. Hata huwezi amini.
N/B nimecrop out Sura zetu toka kwenye picha hizi. Picha nyingine zimepotea kiasi lakini nikipata ntawaonyesha. Hasa Luna soko katikati ya jiji pale sijui jina. Ila no chafu ajab.
Screenshot_20181114-225514.png

Screenshot_20181114-225526.png
Screenshot_20181114-225537.png
Screenshot_20181114-225548.png
 
Bro naona unaenda nao sawa,baada ya nairobi kukata pumzi sasa wanajiliwaza na mombasa,ni sawa wameishiwa mabomu na risasi wanaamua kurusha hata kiatu,itafuata kofia,harafu shati
Kuna mwengine hapa kazi yake kuokota picha za google hajui hata anapost alimradi tu apost😂😂😂😂😂😂😂
 
Nikuwa pale Dar tukipiga mapicha na majamaa zangu. Hizo three blue towers zinatokea vizuri Sana.

Kitu kimoja cha kuudhi ni uchafu Tu chini ya haya majumba. Hata huwezi amini.
N/B nimecrop out Sura zetu toka kwenye picha hizi. Picha nyingine zimepotea kiasi lakini nikipata ntawaonyesha. Hasa Luna soko katikati ya jiji pale sijui jina. Ila no chafu ajab.
View attachment 934336
View attachment 934338View attachment 934339View attachment 934340
Yeah I happend to see the same, I actually shared the same pics here. Dar from the ground is very unkempt. Wanakazi yakufanya
 
Nikuwa pale Dar tukipiga mapicha na majamaa zangu. Hizo three blue towers zinatokea vizuri Sana.

Kitu kimoja cha kuudhi ni uchafu Tu chini ya haya majumba. Hata huwezi amini.
N/B nimecrop out Sura zetu toka kwenye picha hizi. Picha nyingine zimepotea kiasi lakini nikipata ntawaonyesha. Hasa Luna soko katikati ya jiji pale sijui jina. Ila no chafu ajab.
View attachment 934336
View attachment 934338View attachment 934339View attachment 934340
Hio camera inaonesha kabisa megapixel zake zilikua 8 hehehhee chukua hii bro😂😂😂😂😂👇👇👇👇
2A1D0AC5-44B3-4D60-8F28-0A4BA4021613.jpeg
738DE11B-4B74-4CBB-8711-232AE40E013E.jpeg
26FF1CED-3182-40A6-A0CD-F358368DB947.jpeg
22C003F3-6D3B-41D8-A76E-6C77EF6ECC57.jpeg
CB39C9A0-6048-462F-866D-6F9A96019940.jpeg
 
Back
Top Bottom