Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wakenya wakiamua kujikata hii Kenyan forum inaweza boo sana. Hizi vindu vijinga huwezi ziona humu tena. Zinakuja hapa sababu ya wakenya

Kwani kenya forums inamsaidia nini mtz???kumbuka kwamba mngekuwa na uwezo mngeacha hata huu uzi ujifie but you know what?........
 
Mbona unaandika kwa hisia hivyo wewe maskini!!? Nimekueleza utuambie kazi yako ni ipi. Mnaliwa na funza kila siku huku mkishindwa hata kujenga choo na kuwa na FLYING TOILET.
😀😀
Kwenda uko..nipee number yako nikutumie pesa
 
Dar es salaam SKYLINE..
2400CB18-955E-4FEA-B983-C54867F9A275.jpeg
 
Back
Top Bottom