Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kenya mashoga wengi kuliko dsm
Sema hivyo tena. Ndiye huyu mmoja wenu.Kadada.Hay otros tambien Melissaaa y ichoboy
FB_IMG_15408195954358933.jpg
 
Mwanza hio imesifiwa na wanamziki wanaosifika africa mpaka duniani😂😂😂😂👇👇👇👇👇🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿


Upuzi huu unaweka siutaki...mimi nataka wimbo unaoisifi kijiji chenyu cha dareslum...hapa chini ni wimbo unaoisifu Nairobi
 
Nkt! Nani amejisifu churai. My point was Nairobi as a middle class city and a commercial hub has more vehicles than Dar LDC village. Jam ni shida kwa every major city.
Aisee kweli mkenya ni mpumbavu yaani unajisifu na jams?????..watu tunahangaika kuondoa jams kwa city zetu,we unafurahia,aaah mungu tuepushe na akili kama hizi
 
Back
Top Bottom