Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kenya mashoga wengi kuliko dsm
Sema hivyo tena. Ndiye huyu mmoja wenu.Kadada.Hay otros tambien Melissaaa y ichoboy
FB_IMG_15408195954358933.jpg
 
Mwanza hio imesifiwa na wanamziki wanaosifika africa mpaka duniani😂😂😂😂👇👇👇👇👇🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿


Upuzi huu unaweka siutaki...mimi nataka wimbo unaoisifi kijiji chenyu cha dareslum...hapa chini ni wimbo unaoisifu Nairobi
 
Nkt! Nani amejisifu churai. My point was Nairobi as a middle class city and a commercial hub has more vehicles than Dar LDC village. Jam ni shida kwa every major city.
Aisee kweli mkenya ni mpumbavu yaani unajisifu na jams?????..watu tunahangaika kuondoa jams kwa city zetu,we unafurahia,aaah mungu tuepushe na akili kama hizi
 
Sijakuuliza mambo ya construction. Nilitaka uniletee a functional SGR kama hakuna unasema hakuna.
Kwan hujui kama the modern electric bullet train in africa is underconstruction hahah yani ujenzi haujamaliza hata miaka miwili ila munalia mukilia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]



 
[emoji23][emoji23][emoji23] Tuletee basi roads na airport za Mwanza tulinganishe. Alafu GDP.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Naona unatuonesha meli ya ufalme wa oman musije sema yenu hata zanzibar ilikuwepo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122] kinachoistiri mombasa ni port only nothing else
 
Back
Top Bottom