Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

IMG_20181111_105128.jpg

Borusia Dortmund. Hakuna Matata Boots. Slogan from Kenya. And that is why they are winning!!
 
Halafu vidume vitatu vya bongo vinatandikwa na mwanaume wa kikenya kama vitoto vichanga.mwanamke wa Kenya anaweza chapa vingapi hivi?tafakari
Eti kati ya mimi handsome de loc na joto la jiwe unampenda nani..!!jamaa anataka nipora wakati mimi nimeshaanza harakati za kuposa..
 
Mnajua superhighway inatoka thika to isiolo inaendelea......lol.why do Tanzanians imagine projects only happen in LDC tanganyika.....smh
Acha kujishtukia ,kila mahal kuna projects
Kazi yangu nikutaja zinazoendelea hapa kwetu nani amewahi kukuzuia kutaja zenu
 
Ichoboy the snob. You are allergic to poor people. Hebu fika Tanzania kusini ujionee.
People there live in abject poverty.Ukila chipsi na kuku wengine huko hawapati mlo na serikaliyenui inakana kwamba kuna ukosefu wa chakula Tanzani
Inaonekana hujui kitu, unahisihisi tu,chips kuku kwa Tanzania nzima mikoa ya kusini huwa ni cheap vibaya mno..usizungumzie chakula kwa mikoa ya kusini mwa tz,utachekwa!! kwa sababu nyanda za juu kusini hulisha tz na Kenya kwa ujumla
 
Back
Top Bottom