tuusan
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 17,973
- 20,222
Fanyeni large scale mtuuzie.
Kwahyo Kenya ni nchi tajiri?Tanzania per capita, education levels and life expectancy are low thus qualifies the title LDC country
="game over, post: 29053650, member: 346898"]Yap. Naona Estim Construction Company (a tanzanian Company) wanafanya kazi day and Night,
Kumbe hao jamaa ni wabongo. ..walishapewa project gani kubwa kabla...
Basi wanafanya kazi nzuri sana...Project nyingi sana Anzia Morroco square , Seven elven , Pspf twin towers , Pspf Golden Jubilee, TPA HQ, zipo nyingi sana Pamoja barabara kibao.
Lower middle incomeMiddle income
Juzi nilipost hapa barabara, jamaa akiita hizo nyanga eti vi-hiace. Anadhani hiyo ni mitungi huendeshwa kule Dar
Juzi nilipost hapa barabara, jamaa akiita hizo nyanga eti vi-hiace. Anadhani hiyo ni mitungi huendeshwa kule DarView attachment 921022
Ndio hao maboysThe 1st East African club to play in England home & away.
Usisahau mlituchomea vifaranga.Avocados zenyewe mtalangua Tz sasa tumeshawagundua iyo biashara itaanza kua ngumu muda sio mrefu
GDP with 63% debt hehehhe hawa watu wapuuzi sana yani hali ya uchumi umewakilia vibaya sana ona hii😂😂😂👇👇👇Per capital yenu ngap? GDP kitu gani
They modify for you. You buy your own Hiace and they modify it, the price depends on what you want included and the material you wish the interior to be made from.Hiyo inafaa sana kwenda kulia bata,
How much are they selling? Looks awesome.
middle income 46% unemploymentMiddle income
Hahahahahahahaha,ebu twambie hiyo creativity ikowap hapo zaidi ya kuchukua masofa na kuweka kwenye hiyo gari,.
alirudi mkono mtupu👏👏👏👏 asanteni mpeni harmonize pesa ya kutosha plz kenyans
subutu unafkiri wasanii wa tz ni kama wasanii wa kenya wasanii wa tz pesa kwanza show yoyote ukiwaita lazma uandae kitita cha maana ni kama vile alikiba alivotengeneza pesa kwa joho kipindi cha kampeni 😂😂😂😂👇👇👏👏alirudi mkono mtupu
Hahaha you need to be serious sometimes.Hahaha wooi kwahyo hyo ndio CBD yao?adis bado sana man hata kampala ni best