Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

bila kusahau ukija uje na akili yakosawasawa๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡ambassadorial house heheh
View attachment 914875
sasa umeanza kubadili goal posts eeh! shida iko wapi na nyumba nilioiweka ??
nilijua wewe ni kilaza tu wa kawaida na huna lolote.
 
sasa umeanza kubadili goal posts eeh! shida iko wapi na nyumba nilioiweka ??
nilijua wewe ni kilaza tu wa kawaida na huna lolote.
sio kubadili unachekesha wewe ndio maana nikakwambia mwenzio kashaharisha nusu debe ilifaa umsaidie kuharisha ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‘
 
sio kubadili unachekesha wewe ndio maana nikakwambia mwenzio kashaharisha nusu debe ilifaa umsaidie kuharisha ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‘
brah brah brah meffi wewe. futa account, hamna mwanya roundi hii.
 
I hr 29 minutes to go
Screenshot_20181029-120631_Opera.jpeg
 
kijana unafanya nini hapa?? futa account kama ulivyo sema!
ambassadorial house au sio๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€ ehhh dunia simama niteremke umenifurahisha sana leo
 
Hii itafikia KQ in 100 years time.....pwahahahahaha
kwa ndege za ku lease heheh ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ’‰๐Ÿ’‰๐Ÿ’‰๐Ÿ’‰๐Ÿ’‰ ndege sio zenu alaf tufike wapi???
 
wakenya wote naomba mumsikilize mchumi wenu kwanzia 10:30 plz plz๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

 
Back
Top Bottom