Wanapenda kuvaa tai. Ila wenzao wajanja wapo tz wanalima nyanya/chungu/bamia na baada ya muda wanarudi kwao ke na kufungua mashamba ya mbogamboga.Hii ni sababu saidizi,sababu kuu ni kwamba ajira hamna.si unafahamu ajira zinatengenezwa???
Sasa kwa sababu kenya inaongoza kwa elimu bora africa,nchi yoyote africa mna value sana.kwanini hamtoki hapo kwenda kutafuta ajira nchi zingine??




