Lewis254
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 8,414
- 3,679
nikumbusheunajifanya hujui au???
nikumbusheunajifanya hujui au???
@lewis254@mwaswast@El matador NairobiWalker njooni mjibuhahahhaahhaha hata mbuyu ulianza kama mchicha and besides, hao wafanyakazi waliokuwa wanapanga kugoma mmewalipa? + leased aircrafts dude you are joking, there's nothing to be proud of
haujiaamini eh, waite halafu na wewe ungana nao niwafundishe adabu@lewis254@mwaswast@El matador NairobiWalker njooni mjibu
iko wapi bro hio
Naona umenikomalia kinoma smh!,Mi mtz nimewaita wahusika waje kujibu kwani kuna ubaya?haujiaamini eh, waite halafu na wewe ungana nao niwafundishe adabu
Hahahaha, kazi hiyo mkuu, Nasubiri mrejesho.
mambo vipi warembo? Semeni. nini mnataka. Niwageuze princesses ?semeni nini mnatakaHahahaha, kazi hiyo mkuu, Nasubiri mrejesho.
Niachie huyo nimeshamuwahi Tafadhali sana.
sio hivyo, kwanza nilidhani kuwa wewe ni mkenya, smahani sana lakini pia inasikitisha sana kuwa huna imani kwa mambo ambayo nchi yako inafanya, ndio maana nikasema hata mbuyu ulianza kama mchicha, USA haikuwa hivyo miaka mia tatu iliyopita, Israel haikuwa hivyo ilivyo miaka 50 iliyopita so ni progressNaona umenikomalia kinoma smh!,Mi mtz nimewaita wahusika waje kujibu kwani kuna ubaya?
hata sijui najibu nini?!?!?!@lewis254@mwaswast@El matador NairobiWalker njooni mjibu
Sidhan kama kuna mahala nimesema sina imani na serikalisio hivyo, kwanza nilidhani kuwa wewe ni mkenya, smahani sana lakini pia inasikitisha sana kuwa huna imani kwa mambo ambayo nchi yako inafanya, ndio maana nikasema hata mbuyu ulianza kama mchicha, USA haikuwa hivyo miaka mia tatu iliyopita, Israel haikuwa hivyo ilivyo miaka 50 iliyopita so ni progress
Hapo jirani CRDB HQ wamefikia stage gani ya ujenzi? Sijasikia updates zake muda mrefu
Nilidhani ni kejeli hii nikaamua kuipuuza .Kama haya umeyatoa moyoni ni sawaWakati Atcl ikitambuliwa na IATA, huku Koki anatupeleka moja Kwa moja hadi Kwa Trump.
All in all hongereni majirani ,can't imagine how Kenya tourism industry moving another more miles ahead!
😀😀😀hakikisha umeenda kisiri. Geuza ulale wakikupata, utateketezwa.Any Tanzanian who knows arusha well anisaidie referrals za hotels affordable...
I am planning to be there in January for a week
Mahindi, legumes, cooking gas, wheat flour, Azam goods including Azam TV just few to mention, but can't invest in Kenya because of corruption, tribalism, terrorism and poor security.
I want to visit arusha then proceed to Dar.....festive season voucher nitapeleka huko LDC niwapromote kiasi [emoji1787]😀😀😀hakikisha umeenda kisiri. Geuza ulale wakikupata, utateketezwa.
Nyumba 30 bedrooms 10 toilets..kwani ni vichaka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji382][emoji382][emoji382]
View attachment 913946View attachment 913947View attachment 913948View attachment 913949View attachment 913951View attachment 913952
rich hotel bondeni area mnazi mmoja street👏👏👏👏👏👏Any Tanzanian who knows arusha well anisaidie referrals za hotels affordable...
I am planning to be there in January for a week
Are any of those donations?well said mkuu.. these people are the best corruptive ,tribalists, and have the poorest security when it comes to business .. i hate it
umekosa hoja sindio hehhee umekosa nyumba ya 5000 usd nyali kwa mwezi😂😂😂😂😂😂💉👏👏Nyumba 30 bedrooms 10 toilets..kwani ni vichaka