Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sijawahi jua middle class wa Dar slum huishi wapi sababu ukipost hiyo slum useme huko ndiko middle class huishi wanakata.....ukisema huko ndiko lower class huishi wanakata,sasa nimechanga nyikiwa kama Tanzania kuna middle class au hakuna
Middle upper na lower class tanzania hakuna. Wote tupo sawa. Tupo buguruni kibada na Mbweni msasani etc
 
Oysterbay ata umoja one afadhaliView attachment 913323
😂😂😂😂😂😂👇👇👇👇👇💉💉💉
E9394FC7-5AFC-4554-A595-2F6560A446E8.jpeg
1BD2A55B-3478-4A31-9E5D-2E6D0B9F2BD3.jpeg
0ABD3EE1-4D92-42C8-BD3B-8CACE414D310.jpeg
184581D9-94C0-42C7-B051-8AABEF3E9FEB.jpeg
C4FE9D47-2A4B-4C4F-9923-6B9B91CCC56A.jpeg
1BEDD383-92F3-48AA-A4D0-955C8E6468E2.jpeg
 
Asante Kwa kunielimisha......Kwa hivo nyote huishi hapa? View attachment 913975View attachment 913987
mulijua mzungu mjinga sana asieke dar aeke nairobi😂😂😂😂👏👏👏👇👇👇 ukizoom ukanionesha slum hapo nafunga account jamii forum💉💉💉💉
watu wanaishi kama watumwa kwenye nchi yao si bora mukubali wachina wawatawale tu
FEED269F-24B2-480C-BD4C-0949EB9BB64F.png
 
You Tanzanians talk about Kenya as if you live in Kenya. If Kenyans don't own land who owns? You know nothing. Kazi yenu ni kukurupuka bila ushahidi wowote
The land in Kenya owned by politicians and muzungu..Kenyatta family owns a land enough to reside 20 million kenyans,can you imagine??..how about kibaki,odinga,moi,ruto,kanjibhai,U.K govt...??
 
The land in Kenya owned by politicians and muzungu..Kenyatta family owns a land enough to reside 20 million kenyans,can you imagine??..how about kibaki,odinga,moi,ruto,kanjibhai,U.K govt...??
ushidi huu hapa mpe bro😂😂👇👇
robo ya kenya ni ya kenyatta pekee
65F88606-0854-4FA6-8C48-92DCCAC2263B.jpeg
 
The land in Kenya owned by politicians and muzungu..Kenyatta family owns a land enough to reside 20 million kenyans,can you imagine??..how about kibaki,odinga,moi,ruto,kanjibhai,U.K govt...??
bila kuwasahau white settlers ndio wenye arable land kubwa ya kenya wanapanda maua wakauze kwao alaf wanawaacha 40% kenyans without food
 
when unemployment is 46% huu ndio mustakbali wao alaf mkenya anapanua mdomo anakwambia wao wana international hq offices zimesaidia nn????👇👇👇👇



 
Hhhhhh!!athi river +ngong=nairobi metro..hapo umekosea kidogo tu..ila nadhani utaelewa pole pole
The battle is dar es salaam vs nairobi.
Not dar es salaam vs Nairobi metro..
The thing is very easy,I wonder why you guys get so hard to understand,think, you ve got something wrong upstairs!!
 
it will take airtanzania 2centuries to reach where kq is today.
kwa ndege za ku lease au???😂😂😂😂 wakat imechukua 2 yrs to buy cash 7 new brand aircraft hahaha kamuone daktari ma mishipa ya mikojo😝😝😝😝😝 yani katika marais walioshangaza ulimwengu ni magufuli 2 yrs to buy 7 brand new aircraft tena cash heheh acha kabisa
 
kwa ndege za ku lease au???😂😂😂😂 wakat imechukua 2 yrs to buy cash 7 new brand aircraft hahaha kamuone daktari ma mishipa ya mikojo😝😝😝😝😝 yani katika marais walioshangaza ulimwengu ni magufuli 2 yrs to buy 7 brand new aircraft tena cash heheh acha kabisa
kq has more than 40 planes. niambie ngapi ni zao na ngapi ni za kukodi
 
But kq ain't yours, everybody knows...!!msipende kujivunia vitu ambavyo si vyenu mnaonekana wehu!
kq ni joint venture company my friend ndio maana loss inawatafuna miaka mitano sasa kwasbabu ndege za kukodi wewe unapokodi mwenye ndege hajui umefanya kazi au laa yeye anachosubiri mpunga wake na ndege yake iwe salama😂😂😂😂👏👏👏👏👏
 
Back
Top Bottom