mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 32,066
- 39,513
Please give me tough mathematics How can u give high school mathematics..I am a Statistician dude
Tunaomba njia na jibu bro,hizi blah bla hazipendezi kwa mtoto wa kiume.
Please give me tough mathematics How can u give high school mathematics..I am a Statistician dude
what gender are you?i was forced to come 🔙 here
Someone is misbehaving.
You better stop provoking me .
I wonder how you relate with that kind of attitude
Kitoto kichokozi
Bado hii si hoja.Hapa siongei kwa ajili ya Mkenya wala Mtanzania.Unaweza pia badili hizo alama ukaweka mawe.Nilitazama mtoa mada anataka nini basi hapo ndipo msingi wa hoja yangu inapoanzia.
Hii hoja ya Wakenya kule au huku wanafanywa hivi haikuwa hoja.Aidha, hapo hunisaidii,labda unajiridhisha tu kisaikolojia, maana hata mimi naijua Jamii Forum pia.
Mijitu ya kuamrisha wakenya walete visiwa vya Nairobi. Hebu waelimishe maana uelewa wao wa mambo ni finyu sana ila siwalaumu. Wa kulaumiwa ni mcpilipili .kabla ya kuingia kwenye sanaa ya uchekeshaji alikuwa mwalimu wa shule ya upili. Angewafunza jiografia vizuri mngekuwa na uwezo wa kutofautisha lnland city na coastal city. Nashuku alikuwaanaleta mzaha darasani. Kawafunza comedi Yule ila sijapata mbongo hata mmoja ambaye amebobea kwenye uchekeshaji. Na mkiambiwa elimu yenu ni duni mnanuna.Bado hii si hoja.Hapa siongei kwa ajili ya Mkenya wala Mtanzania.Unaweza pia badili hizo alama ukaweka mawe.Nilitazama mtoa mada anataka nini basi hapo ndipo msingi wa hoja yangu inapoanzia.
Hii hoja ya Wakenya kule au huku wanafanywa hivi haikuwa hoja.Aidha, hapo hunisaidii,labda unajiridhisha tu kisaikolojia, maana hata mimi naijua Jamii Forum pia.
I don't mean to be rude but can you please ask kadada. It seems'she'knows a lot about me. Smhwhat gender are you?
mtoto akilia wembe mpe tu😂😂😂😂ataweza?.... huyo atakuja na porojo tu, hana lolote. acha nimtag tuone.
Mijitu ya kuamrisha wakenya walete visiwa vya Nairobi. Hebu waelimishe maana uelewa wao wa mambo ni finyu sana ila siwalaumu. Wa kulaumiwa ni mcpilipili .kabla ya kuingia kwenye sanaa ya uchekeshaji alikuwa mwalimu wa shule ya upili. Angewafunza jiografia vizuri mngekuwa na uwezo wa kutofautisha lnland city na coastal city. Nashuku alikuwaanaleta mzaha darasani. Kawafunza comedi Yule ila sijapata mbongo hata mmoja ambaye amebobea kwenye uchekeshaji. Na mkiambiwa elimu yenu ni duni mnanuna.
asante magu
👏👏👏👇👇👇👇
wacha hasira basi hesabu imekushinda sasa hasira unaleta kwangu budaa au nini mbaya budaa😂😂😂😂😂😂Mr twitter. Hamna kitu utatoa kwa ubongo wako hata siku moja? Kila saa twitter. Copycatman
Huu Uzi umebadilika ukawa wa matusi. Nilikuwa nimejiuzulu lakini nikagundua mna kilaza fulani humu ananitukana atakavyo. Jambo hilo likanitia hamaki hadi singejizuia. Nikasema lazima nilipize kisasi. Sijui mie kamfanyia nini maana chuki aliyo nayo dhidi yangu haina kifani. Naomba umuulize kama niko na deni lolote lake nifanye wepesi kumlipa. Sipendi kutukana waja ovyoovyo. Wakitaka matusi watayapata kwa wingi ila wakichagua tufanye midahalo ya amani itakuwa boraBahati mbaya mimi sina mrengo huo ulionao.Nilitaka tu kuwa na mjada unaofunza kuliko unazi.
Hivi usemavyo na mtanzania atakujibu vile aonavyo yeye pia.Sasa hapo ndiyo mtasema hii ni debate? Ya kiwango gani?
hahaaaa we si ulisema una-left wewe,sasa mbona umerudi??au ulitaka tukubembeleze?These idiots have nothing to offer. Hesabu za secoo ndio wanaturingia nazo.you can tag Anna though. Niliskia ameiva sana kwa Mao
Ha ha ha she must be looking for good husband to Mary herhahaaaa we si ulisema una-left wewe,sasa mbona umerudi??au ulitaka tukubembeleze?
jf ni kama maji,kama hutaki kunywa,utayaoga!..huwezi kuiacha kirahisi hivyo,it's just like a coka,once you enter forget to get out!..very addictive!

😅😅😅😅sijarudi kwa hiari. Kadada provoked me so I came back to teach him a lesson. Either way I concur. Jf is very addictive. Sasa nataka kadada aniambie nilimkosea nini maana huyo mtoto hana heshimahahaaaa we si ulisema una-left wewe,sasa mbona umerudi??au ulitaka tukubembeleze?
jf ni kama maji,kama hutaki kunywa,utayaoga!..huwezi kuiacha kirahisi hivyo,it's just like a coka,once you enter forget to get out!..very addictive!
Ingia you tube search Coy mzungu ucheke ujiny.eeMijitu ya kuamrisha wakenya walete visiwa vya Nairobi. Hebu waelimishe maana uelewa wao wa mambo ni finyu sana ila siwalaumu. Wa kulaumiwa ni mcpilipili .kabla ya kuingia kwenye sanaa ya uchekeshaji alikuwa mwalimu wa shule ya upili. Angewafunza jiografia vizuri mngekuwa na uwezo wa kutofautisha lnland city na coastal city. Nashuku alikuwaanaleta mzaha darasani. Kawafunza comedi Yule ila sijapata mbongo hata mmoja ambaye amebobea kwenye uchekeshaji. Na mkiambiwa elimu yenu ni duni mnanuna.
hey You little boy 👦. Who lied to you that I am desperate for a husband? Think before you type. Are we together?Ha ha ha she must be looking for good husband to Mary her![]()
![]()
![]()
But you said byeeeeeeeee & I replied by Bon voyage mammy. So why are you here again beautiful madame????hey You little boy. Who lied to you that I am desperate for a husband? Think before you type. Are we together?
that's cute, " I don't mean to be rude"I don't mean to be rude but can you please ask kadada. It seems'she'knows a lot about me. Smh
take it easy, everything here is about a battle!!!nothing is serious, if you take anything the way you take,you will be stressed up!!!..I think this battle is bigger than you,yo may take a time for rest..hey You little boy 👦. Who lied to you that I am desperate for a husband? Think before you type. Are we together?
[QUWallahi hawaweOTE="Mtafiti77, post: 28704625, member: 58751"]Bahati mbaya mimi sina mrengo huo ulionao.Nilitaka tu kuwa na mjada unaofunza kuliko unazi.
Hivi usemavyo na mtanzania atakujibu vile aonavyo yeye pia.Sasa hapo ndiyo mtasema hii ni debate? Ya kiwango gani?