If indeed youre 60 you need some respect,,but we willnot spare you on argumentsmimi ni jizee la 60s... hata wenzako siku zote husema mimi ni mzee na nimekubari na uzee wangu.
haikopoa like seriousacha kutetea ujinga.....kama una picha yangu wewe post tu hapa.![]()
![]()
msepere has been exposed...atajua hajui.![]()
sawa duncan, mimi ni matured and a well mannered person, sita-expose sura yako.haikopoa like serious




hii ni battle...katika battle siraha yoyote huweza kutumika kunyorosha the other side....so tusichaguliane siraha pls.hii thread mahali inaelkea ni mbaya......mtaanza hata kupost wazazi wa watu humu...smh

siku ukithibitisha hapo ni dar siku hio nafunga account jamii forum😂😂😂👆👆👆Kati ya hizo na hizi gani zinaonekana ziko na unafuu kidog![]()
![]()
![]()
View attachment 884892View attachment 884894
Kitendo cha kuweka photo yake ata kama umeziba sura ni sawa na kumtishia mtu, hizo ni indirect threats and warnings that you are capable of exposing him. That's not being well mannered or matured. What if he is recognised kwa shati alilovaa au simu aliyoshika?sawa duncan, mimi ni matured and a well mannered person, sita-expose sura yako.
ila kwa yale matusi unayonitukana hapa jf, angekuwa mtu mwingine lazima angekuadabisha....angekulambisha lolo.
View attachment 885075
Wacha kupost picha personal za mtu bila consent yake...respect your age Bana.sawa duncan, mimi ni matured and a well mannered person, sita-expose sura yako.
ila kwa yale matusi unayonitukana hapa jf, angekuwa mtu mwingine lazima angekuadabisha....angekulambisha lolo.
View attachment 885075
Tumia kitu yoyote Ile by si personal stuffs za mtu....with all due respect pull down all his photos that you've posted here.hii ni battle...katika battle siraha yoyote huweza kutumika kunyorosha the other side....so tusichaguliane siraha pls.![]()
![]()
Mimi pia nilirudi round 2 lakini huwezi nifahamunatabiri ID ya Msapere very soon itaanza kuwa inactive.....tutarajie ID mpya yenye jina jipya.
ni kama tu vile ID ya collomzii ilivyotoweka baada ya kupata life ban toka kwa moderator.![]()
![]()
![]()

Wewe umejichanganya mwenyewe Kwa kudhani Kenya JF ni sawa sawa na Kenya talk shukuru unatea Gok la sivyo ungekua unamtusi Uhuru sasa hivi ni pingu tu usimlaumu aliye kuweka open Kwa sababu is your mistakehaikopoa like serious
Kwa kukuweka open amekusaidia usije kufanya ujinga kama huo tenahaikopoa like serious
Hapana hapo wanamsaidia kumfundisha kujilinda asifanye upuuzi kama huo siku atakuwa anatafutwa na vyombo Vya serikali Vya kwao Kwa sababu mbalimbali itakuwa rahisi kumpata kama atakuwa mzembe bora tumfundishe hapa hapa huyo msapareKitendo cha kuweka photo yake ata kama umeziba sura ni sawa na kumtishia mtu, hizo ni indirect threats and warnings that you are capable of exposing him. That's not being well mannered or matured. What if he is recognised kwa shati alilovaa au simu aliyoshika?
Hapana jamaa wanajaribu kumfundisha huyo msapare asije kufanya uzembe in future jf is a schoolKitendo cha kuweka photo yake ata kama umeziba sura ni sawa na kumtishia mtu, hizo ni indirect threats and warnings that you are capable of exposing him. That's not being well mannered or matured. What if he is recognised kwa shati alilovaa au simu aliyoshika?
kwa jinsi ninavyoijua tz, huyu lazima atakuwa zao la TISS.ni. mtu wetu huyu bila shaka.Rais wa msumbiji akiongea kiswahili safi cha kitanzania