Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

mi hyo data mbna naijua tu..ila tatizo hyo poverty inayoongelewa hapo..wamefanya utafiti katika maeneo flani tu au kenya nzima
kenya nzima ndio maana nikakwambia hio ndio general information πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ipokee alaf ridhika nayo
 
kenya nzima ndio maana nikakwambia hio ndio general information πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ipokee alaf ridhika nayo

bro usijidanganye..hyo hao jamaa wametoa kibera na turkana..hawana zaidi ya hapo..mwanzo kibera wengi wao wana force kuishi mjini bila mtaji wala kazi ya maana...mwisho wanajikuta kibera tu wakijenga mabanda yasiyoeleweka..wachezea nairobi wewe..km hna mtaji wa maana au kazi hutoki kirahisi rahisi hvo....lile ni jiji kuu kila mtu anapambana na hali yake
 
bro usijidanganye..hyo hao jamaa wametoa kibera na turkana..hawana zaidi ya hapo..mwanzo kibera wengi wao wana force kuishi mjini bila mtaji wala kazi ya maana...mwisho wanajikuta kibera tu wakijenga mabanda yasiyoeleweka..wachezea nairobi wewe..km hna mtaji wa maana au kazi hutoki kirahisi rahisi hvo....lile ni jiji kuu kila mtu anapambana na hali yake
Duh!!! Hii nayo ni mpya kwetu. Hebu tupatie poverty below povert line kwa kila county.
 
bro usijidanganye..hyo hao jamaa wametoa kibera na turkana..hawana zaidi ya hapo..mwanzo kibera wengi wao wana force kuishi mjini bila mtaji wala kazi ya maana...mwisho wanajikuta kibera tu wakijenga mabanda yasiyoeleweka..wachezea nairobi wewe..km hna mtaji wa maana au kazi hutoki kirahisi rahisi hvo....lile ni jiji kuu kila mtu anapambana na hali yake
ukipata sehemu imeandikwa turkana au kibera nitag πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
6FA6980A-193A-48E3-90DE-0F7DB942FAD9.jpeg
BA4A4843-6C80-4B40-BBDE-F6C4BC5E532F.jpeg
 
uwiiiiiiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
ken Mungu anakuona ujue

A627F200-46C1-478B-8179-8D9A54024F95.jpeg
AEC7B6FD-EA30-4164-AF5D-43B7FE6CE84E.jpeg
 
Back
Top Bottom