ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
tena ita modern electric train mbona sifa yake huipi hehehehehehhe and ya pili kwa speed africa and to be the longest in africa as well😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀Ziko, tumeona hizo reli zenu za kuni. TAZARA. Mimi nafurahi mkijenga treni za kisasa. Ni my dream Africa ikuwe developed kuongea ukweli, lakini baadhi yenu naona mnafikiria ni nyinyi pekee mna maendeleo. Na Mkenya akipost kitu kizuri kuhusu Kenya naona post zina machungu sana hapa kutoka kwa waTZ wengine